Natafuta mchumba wa kike

Rais kuwa na kifua sio what if, what if. Huna tofauti na yule mama mam, mama. Sio kila comment ya kujibu au kila mada ya kupost. Unajipunguzia credibility.
Mimi hata dunia nzima muamue kunitukana na kudhihaki kamwe siwezi kashiriki

Umeniita mama lengo lako ni unikere ila bahati mbaya nimeshavuka huko
 
Rais kuwa na kifua sio what if, what if. Huna tofauti na yule mama mam, mama. Sio kila comment ya kujibu au kila mada ya kupost. Unajipunguzia credibility.
Credibility itapotea kwa kuvunja sheria ya nchi au kufanya mambo ya hovyo ambayo ni kinyume na maadili na sio kufanya engagement na watu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…