Penguinelli Cactussini
Member
- May 23, 2022
- 92
- 339
Natafuta mchumba MWANAMKE awe Dar, wa mikoani hapana sina nauli ya kutuma.
Vigezo
1. Awe amezaliwa wa kike na aambatanishe kadi na cheti cha kuzaliwa
2. Awe na elimu walau awe na D ya masomo ya science O level
3. Awe mbea
4. Asiwe anaongea sana ila nikimwanzishia tu atiririke.
5. Wazazi/walezi wake wawe na bima za afya
Mimi ni mrefu ila sina ajira.
Nina mwili mkubwa na futi 6.2
Asitegemee mimi kumridhisha kitandani, nina mambo mengi ya kufanya mwaya.
Vigezo
1. Awe amezaliwa wa kike na aambatanishe kadi na cheti cha kuzaliwa
2. Awe na elimu walau awe na D ya masomo ya science O level
3. Awe mbea
4. Asiwe anaongea sana ila nikimwanzishia tu atiririke.
5. Wazazi/walezi wake wawe na bima za afya
Mimi ni mrefu ila sina ajira.
Nina mwili mkubwa na futi 6.2
Asitegemee mimi kumridhisha kitandani, nina mambo mengi ya kufanya mwaya.