masandare
JF-Expert Member
- Mar 9, 2014
- 671
- 580
Habari zenu wanajamvi.
Natafuta binti mzuri kwaajili ya uchumba (siyo mapenzi). Nahitahi awe na sifa zifuatazo:
1. Umri miaka 20 hadi 30.
2.Rangi isiwe nyeusi
3.Urefu wowote.
4.Elimu yeyote.
5.Kabila lolote tz isipokuwa tanga hapana.
6. Asiwe mwembamba.
7. Awe muislamu mwenye kujitambua.
Kwa yeyote mwenye sifa tajwa hapo juu au mwenye kuweza kuniunganisha na mwenye sifa ani PM.
Natafuta binti mzuri kwaajili ya uchumba (siyo mapenzi). Nahitahi awe na sifa zifuatazo:
1. Umri miaka 20 hadi 30.
2.Rangi isiwe nyeusi
3.Urefu wowote.
4.Elimu yeyote.
5.Kabila lolote tz isipokuwa tanga hapana.
6. Asiwe mwembamba.
7. Awe muislamu mwenye kujitambua.
Kwa yeyote mwenye sifa tajwa hapo juu au mwenye kuweza kuniunganisha na mwenye sifa ani PM.