najaribu kuvuta kumbu kumbu mtume alioa yule binti alikuwa na umri gani???
mahakama ya kadhi naomba nikumbushe mkuu.
Ni mtazamo wako.
Ngoma droo!!
![]()
Ni vizuri kabla ya kuhukumu ujilizishe na ushahidi ulio nao. Kila kitu hutokea kwa sababu. Zipo sababu zinazoitoa Tanga ktk vipaombele vyangu
Unaweza kutujuza sababu za kuitoa Tanga?
Ni vizuri kabla ya kuhukumu ujilizishe na ushahidi ulio nao. Kila kitu hutokea kwa sababu. Zipo sababu zinazoitoa Tanga ktk vipaombele vyangu
Habari zenu wanajamvi.
Natafuta binti mzuri kwaajili ya uchumba (siyo mapenzi). Nahitahi awe na sifa zifuatazo:
1. Umri miaka 20 hadi 30.
2.Rangi isiwe nyeusi
3.Urefu wowote.
4.Elimu yeyote.
5.Kabila lolote tz isipokuwa tanga hapana.
6. Asiwe mwembamba.
7. Awe muislamu mwenye kujitambua.
Kwa yeyote mwenye sifa tajwa hapo juu au mwenye kuweza kuniunganisha na mwenye sifa ani PM.
Kabila la tanga???? Ndo nalisikia leo.
Unaweza kutujuza sababu za kuitoa Tanga?
Mpaka sasa hakuna ambaye nifikiana nae muafaka kutoka sababu hii na ile, hivyo uwanja uko wazi .Pia napokea ushauri. Karibuni.