MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,512
- 15,125
Ntaacha kwa ajili yakoWalev siwatak
Ntaacha kwa ajili yakoWalev siwatak
Hamtaki vibonge ila wenye makalio mnataka.
Pesa hana.Je kama pesa anayo
Hamtaki vibonge ila wenye makalio mnataka.
DaaaaahWalio serious please inbox ili nianze upembuzi yakinifu ,wenye masihara pls mkae mbali.
View attachment 1200274View attachment 1200276View attachment 1200281
Sounds LovelyKama una flat TV, basi ndyo picha inayoelekeana na Mimi[emoji3] [emoji3]
Kama unayo wewe yapeleke tu mkuu,yatajulishwa kazi ya kufanywa yakifika kwa mhusikamakalio ya kazi gani?
Wewe tayari amekubariki nenda tu mjumbe,wewe ksbb sura ipo amesema uende tu,utakuwa pambo pale pembeni wakati anashughurika na yake extra bigAmeweka sasa, am out of pambano na hutu tukalio twangu[emoji3] [emoji3] ,yeye anahitaji extra big
Kwa hiyo mnambembeleza tu kidogo kidogo ili akubali alisajili tu hapa lipitiwe kwanza kwenye upembuzi yakinifu sio? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unajua unavyunja sheria lakini ndugu mjumbe?
Mimi ndiye msajili wa kila jambo humu....sajili hilo lako ebu haraka nililinganishe na la wanachama wengine waliokwisha jisajili kisha nikupe mlisho.
Yalete tu kwenye usajili yakaguliwe. Unaweza kukuta yakapitaWenye makalio ya kuvalia jeans tunanyanyasika
wewe kibonge?
Yalete tu kwenye usajili yakaguliwe. Unaweza kukuta yakapita
Eeeeh.
Unakuta kibonge na shepu no 9
Mkuu kwani wewe hauna makalio makubwa?Walio serious please inbox ili nianze upembuzi yakinifu ,wenye masihara pls mkae mbali.
View attachment 1200274View attachment 1200276View attachment 1200281