MKUYENGE
JF-Expert Member
- Jun 26, 2019
- 4,106
- 4,619
umeongopa na wakati hata siku bado haijabadirika.Ananiona kwa kusema ukweli wangu eti
umeongopa na wakati hata siku bado haijabadirika.Ananiona kwa kusema ukweli wangu eti
We unaonekana uko vizuriWenye makalio ya kuvalia jeans tunanyanyasika
We unaonekana uko vizuri
Sio mbaya! Hiyo ndio size yangu. Makubwa sana yanachosha 😋😋😁Linatoshea kuvaa suruali tu.
Sio mbaya! Hiyo ndio size yangu. Makubwa sana yanachosha [emoji39][emoji39][emoji16]
Tako la wastani la kupiga kijikofi wakati wa mahaba. Haya makubwa tunawaachia watoto wahangaike nayoWachaaaa
Mkuu !Asilimia kubwa wanawake wenye matako makubwa
hahah wana vitambi pia balaa
HILO NALO UJIANDAE NALO
mume awe na kutambi
nawe mke uwe na kitambi duh si balaaa hilo?
ANAPIGA POMBE[emoji481] na KITIMOTO[emoji241]n.k
mtumbo huo!![emoji85]
alafu mwenye tako kubwa niliwahi kusikia kuwa akili huwa hamna kitu
huwa zimehamia kwenye hayo majitu unayoyapenda
BUT
iwapo mume ni kichwa cha familia
Mke ni moyo wa familia ndiyo
maana wakasema pia hakuna nyumba inayoongozwa na matako bali akili
na ukimuoa mwenye nalo then akaugua hadi likaisha
akawa Kama hizi tv za sasa hivi flat
Je ndoa nayo itaishia hapo?
Ila pambana coz wapo wengi sana wenye nayo
na wanawake nao walishajua kuwa hicho ni kigezo kikubwa kwa sasa hivyo waliowengi wanahangaika mno kuyafuga!
Ndo maana nimekwambia ni culture and perception majority ya waswahili tunapenda ila mfano ukimchukua mwanao wa miaka 2 akaishi ujerumani siku akirudi atakuwa na preference za huko hachelewi kurudi haelewani na kaka zake maana kule wako agressive kutuzidi ,ili tusipoteze muda na wewe hii ni research iliyofanyika oxford university sio longolongoHahah hiyo #2 rafiki sidhani Kama ipo sahihi
mastermind nadhani anakaa sehemu moja au wizara 1
But huyo hadi sasa nimechoka kuhesabu hiyo wizara ni ya ngapi sasa amepewa
(serikali inahangaika mno kumbeba)
kila anapowekwa ha-fit inabidi atolewe!
#1 nayo sio sahihi huyo dada kweli rafiki ukitumwa mwembamba utamleta huyo?
Hahah
Obvious nae anaingia humo kwenye wenye nalo
angalia akina Lisa Jensen, Angelina Jolie, celine Dion, Janet Jackson, whitney Houston, Aisee ni wengi mno nikitaja
Alafu
Angalia akina Jlo, kim kadash, Irene uwoya, hahah hapa napo ni wengi mnoo rafiki
(wanaoamini na kushindana kufuga matako)
Wenye makalio ya kuvalia jeans tunanyanyasika
Kwanzaa kwa nn mlikuja huku hamruhusiwi [emoji16]Tusiokuwa na makalio makubwa tunaruhusiwa kucomment [emoji134][emoji134]
Asilimia kubwa wanawake wenye matako makubwa
hahah wana vitambi pia balaa
HILO NALO UJIANDAE NALO
mume awe na kutambi
nawe mke uwe na kitambi duh si balaaa hilo?
ANAPIGA POMBE[emoji481] na KITIMOTO[emoji241]n.k
mtumbo huo!![emoji85]
alafu mwenye tako kubwa niliwahi kusikia kuwa akili huwa hamna kitu
huwa zimehamia kwenye hayo majitu unayoyapenda
BUT
iwapo mume ni kichwa cha familia
Mke ni moyo wa familia ndiyo
maana wakasema pia hakuna nyumba inayoongozwa na matako bali akili
na ukimuoa mwenye nalo then akaugua hadi likaisha
akawa Kama hizi tv za sasa hivi flat
Je ndoa nayo itaishia hapo?
Ila pambana coz wapo wengi sana wenye nayo
na wanawake nao walishajua kuwa hicho ni kigezo kikubwa kwa sasa hivyo waliowengi wanahangaika mno kuyafuga!
Jilete mwenyewe ...sasa niaibu kuja pm mimi
Tatizo tukiwashika tunashika mifupa na heshima Ya nyumba ni Choo
Kikubwa makalio ubonge tutavumilia kidogoHamtaki vibonge ila wenye makalio mnataka.
Makalio makubwa yatakusaidia nini kijana,tafuta pesa Kwanza.
Walev siwataktako kubwa unalo
Nipo kipoozeo hapa pia haunitaki....?Walev siwatak