Natafuta MCHUMBA mwenye MAKALIO makubwa

Natafuta MCHUMBA mwenye MAKALIO makubwa

Aisee, hakuweka picha,hivo nilidhani naweza kuwa miongoni ,ila baada ya hizo picha dooh, sielekeani na wala sina makalio ,nisameheni ndugu wajumbee[emoji3] [emoji3]
Unajua unavyunja sheria lakini ndugu mjumbe?

Mimi ndiye msajili wa kila jambo humu....sajili hilo lako ebu haraka nililinganishe na la wanachama wengine waliokwisha jisajili kisha nikupe mlisho.
 
Unajua unavyunja sheria lakini ndugu mjumbe?

Mimi ndiye msajili wa kila jambo humu....sajili hilo lako ebu haraka nililinganishe na la wanachama wengine waliokwisha jisajili kisha nikupe mlisho.
Ohooo, nimevunja sheria kumbe sorree msajili Wa matukio, ntakuona soon nifanye usajili[emoji3]
 
Back
Top Bottom