kekule benzene
JF-Expert Member
- Sep 28, 2016
- 1,236
- 2,982
Wasalaam wakuu!!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, natafuta mwanamke ambaye atakuja kuwa mke wangu
Wasifu wangu
*Umri -26
*Elimu -Bachelor degree
* Dini - muislam
*Rangi- Mweusi(pure)
*Urefu-Wastani
*Makazi- DSM
NB
Kama kuna kitu cha ziada nitaweka nikikumbushwa (Nikiulizwa)
SIFA ZA MWANAMKE
* Muislam ( nazungumzia muislamu ambaye anajipamba na uislamu , mavazi, ibada n.k
*Awe na ufahamu katika dini angalau Yale mambo ya msingi
*umri-asizidi miaka 25
Kama hauna sifa tafadhali kwa heshima na taadhima usije.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, natafuta mwanamke ambaye atakuja kuwa mke wangu
Wasifu wangu
*Umri -26
*Elimu -Bachelor degree
* Dini - muislam
*Rangi- Mweusi(pure)
*Urefu-Wastani
*Makazi- DSM
NB
Kama kuna kitu cha ziada nitaweka nikikumbushwa (Nikiulizwa)
SIFA ZA MWANAMKE
* Muislam ( nazungumzia muislamu ambaye anajipamba na uislamu , mavazi, ibada n.k
*Awe na ufahamu katika dini angalau Yale mambo ya msingi
*umri-asizidi miaka 25
- Awe Dsm au awe mwenye kukubali kuishi DSM
- Elimu sio issue
- Sitak mwajiriwa, Ikiwa amejiajiri itakuwa vizur lakin kama hana Kaz sio mbaya.
Kama hauna sifa tafadhali kwa heshima na taadhima usije.