Natafuta Mchumba Mwalimu

Natafuta Mchumba Mwalimu

Hahaha we mchokozi mimi mwalimu wangu alikuwa ana nipima kasema

Mitihani hii ni ya masomo ya science sana mamichoro hivi mi nilisoma business shycom ndo maana nimefail

Yeye anaweza faulu ma reproduction sijui,Almentary canal huko na mengine

Alikufanya mock kuelekea necta!
 
mimi ni mwalimu katika taasisi mojawapo hapa dsm natafuta mwanamke wa kuishi nae mchumba huyu awe ni mwalimu ngazi yeyote ile pia awe anaishi dsm ni pm kama upo tiyari...

hii nayo kali
 
kazi ipo, yeye ni mwalimu sehemu kubwa ya siku yake imezungukwa na walimu, anaacha kutupa nyavu huko anakuja huku jf, wanawake jf ndio sie wenyewe wa huko mtaani, tena afadhali kudate na mwanamke ambae unamfahamu hata kabla hujamtongoza kuliko habari huku pm, huku ni kama bahati nasibu, ukilamba dume bahati yako ila ukilamba galasa, usrudi kulia, watu mnatafuta matatizo wakati mwingine.

NOTE: mimi najiuliza sana hili swali, inamaana huku jf ndio kuna wanawake wepesi wepesi au ndio kwenye wanawake wenye sifa hadi watu kukimbilia huku?
A na B yote sawa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom