Natafuta Mchumba Mwalimu

Natafuta Mchumba Mwalimu

Kwa nini unasema kuwa ni bahati nasibu??cauz social media zipo nyingi kama hutoweza kuona picha yangu hapa we can navigate to whatsup au by any means before we meet mambo nowdays yamerahisishwa

samahani kama nimekukwaza, bahati nasibu kwasababu huendi kuishi na picha, sura wala umbo, uaenda kuishi na tabia, ukilamba dume hapo umewin ila ukilamba galasa hapo sasa sijui, mengine muhusishe Mungu pia, utafanikiwa kaka. mimi nimemaliza
 
samahani kama nimekukwaza, bahati nasibu kwasababu huendi kuishi na picha, sura wala umbo, uaenda kuishi na tabia, ukilamba dume hapo umewin ila ukilamba galasa hapo sasa sijui, mengine muhusishe Mungu pia, utafanikiwa kaka. mimi nimemaliza
Okey nashukuru..
 
Mimi ni mwalimu katika taasisi mojawapo hapa dsm natafuta mwanamke wa kuishi nae mchumba huyu awe ni mwalimu ngazi yeyote ile pia awe anaishi dsm Ni PM kama upo tiyari...

Walimu na wanafunzi wa kata hakuna tofauti.wote IQ zao ni sawa
 
Mimi ni mwalimu katika taasisi mojawapo hapa dsm natafuta mwanamke wa kuishi nae mchumba huyu awe ni mwalimu ngazi yeyote ile pia awe anaishi dsm Ni PM kama upo tiyari...
Hata mwalimu wa Madrassa anafaa?
 
Unamaanisha nini embu weka wazi kwa nini I.Q ya mwalimu inafanane na ya mwanafunzi??

Wanafunzi wanatafuta maboyfriend mtandaoni.Mwalimu anatafuta mke mtandaoni.niambie wanatofautiana nini hapa?
 
Mimi ni mwalimu katika taasisi mojawapo hapa dsm natafuta mwanamke wa kuishi nae mchumba huyu awe ni mwalimu ngazi yeyote ile pia awe anaishi dsm Ni PM kama upo tiyari...

Hata mwalimu wa Madrassa anafaa?
 
Mimi ni mwalimu katika taasisi mojawapo hapa dsm natafuta mwanamke wa kuishi nae mchumba huyu awe ni mwalimu ngazi yeyote ile pia awe anaishi dsm Ni PM kama upo tiyari...
Hata mwalimu wa Madrassa anafaa?
 
Wanafunzi wanatafuta maboyfriend mtandaoni.Mwalimu anatafuta mke mtandaoni.niambie wanatofautiana nini hapa?

Sasa hapo huoni utofauti??mwanafunzi anatafuta boy/girl friend lakini mwalimu anatafuta mke..
 
Sasa hapo huoni utofauti??mwanafunzi anatafuta boy/girl friend lakini mwalimu anatafuta mke..

Acheni kuwadanganya wadada wenye uchu wa kuolewa.hakuna mwanaume mwenye akili timamu wa kumuoa mwanamke wa mtandaoni.
 
Mimi ni mwalimu katika taasisi mojawapo hapa dsm natafuta mwanamke wa kuishi nae mchumba huyu awe ni mwalimu ngazi yeyote ile pia awe anaishi dsm Ni PM kama upo tiyari...
Wewe mwalimu halafu unataka mke mwalimu jioni huko nyumbani si mtakuwa mnaongelea kusahihisha madaftari na jinsi ya kuandaa lesson plan ya kesho yake?
 
Acheni kuwadanganya wadada wenye uchu wa kuolewa.hakuna mwanaume mwenye akili timamu wa kumuoa mwanamke wa mtandaoni.

Usikariri kijana watu wana date mitandaoni mpaka kufikia stage ya kufunga ndoa na kuishi pamoja kwa kufuraha na kuanzisha familia??
 
Hawa walimu mpaka siku akutane na mwanafunzi wake ndio wataacha kutafuta wake mtandaoni.

kwanza wanaokuja humu kutafutana sio wote walimu, pili unaposema "IQ ya walimu na wanafunzi wa kata ni sawa" unamaanisha nini? wewe umefundishwa na mgambo hadi ukajua kuandika hapa jf? Wakati mwingine tumia lugha ya staha. habari ya kukwazana sio nzuri.
 
Wewe mwalimu halafu unataka mke mwalimu jioni huko nyumbani si mtakuwa mnaongelea kusahihisha madaftari na jinsi ya kuandaa lesson plan ya kesho yake?

Kwani kuna tatizo gani hapo hamna shida??
 
Nahisi wewe ni yule jamaa aliyekuja na uzi wa kizungu cha China, akitafuta mke, sasa unatafuta mwalimu akufundishe kizungu cha Uingereza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom