Natafuta Mchumba Mwalimu

Natafuta Mchumba Mwalimu

Kijacho Jr

Member
Joined
Dec 23, 2014
Posts
53
Reaction score
14
Mimi ni mwalimu katika taasisi mojawapo hapa dsm natafuta mwanamke wa kuishi nae mchumba huyu awe ni mwalimu ngazi yeyote ile pia awe anaishi Dar es Salaam Ni PM kama upo tayari.
 
Mimi ni mwalimu katika taasisi mojawapo hapa dsm natafuta mwanamke wa kuishi nae mchumba huyu awe ni mwalimu ngazi yeyote ile pia awe anaishi dsm Ni PM kama upo tiyari...
kama issue ni mwalimu jaribu kuwasiliana na ndugu yangu Superbrand atakuelekeza...
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni mwalimu katika taasisi mojawapo hapa dsm natafuta mwanamke wa kuishi nae mchumba huyu awe ni mwalimu ngazi yeyote ile pia awe anaishi dsm Ni PM kama upo tiyari...

suende ofisi ya mkurungezi wa elimu atakupa mwanamke
 
kama issue ni mwalimu jaribu kuwasiliana na ndugu yangu Superbrand atakuelekeza...

Hahaha we mchokozi mimi mwalimu wangu alikuwa ana nipima kasema

Mitihani hii ni ya masomo ya science sana mamichoro hivi mi nilisoma business shycom ndo maana nimefail

Yeye anaweza faulu ma reproduction sijui,Almentary canal huko na mengine
 
Last edited by a moderator:
Hahaha we mchokozi mimi mwalimu wangu alikuwa ana nipima kasema

Mitihani hii ni ya masomo ya science sana mamichoro hivi mi nilisoma business shycom ndo maana nimefail

Yeye anaweza faulu ma reproduction sijui,Almentary canal huko na mengine

Ai nimecheka sana!Kipimo cha teacher nitajaribu kukitumia!!
 
Waalimu wote dar wameolewa. Ungehitaji mikoani, ungeopoa fasta then unamhamishia dar
 
Hapo katika taasisi ufanyayo kazi WaPo uwatakao, ungetoa tangazo kwenye ubao....

kazi ipo, yeye ni mwalimu sehemu kubwa ya siku yake imezungukwa na walimu, anaacha kutupa nyavu huko anakuja huku jf, wanawake jf ndio sie wenyewe wa huko mtaani, tena afadhali kudate na mwanamke ambae unamfahamu hata kabla hujamtongoza kuliko habari huku pm, huku ni kama bahati nasibu, ukilamba dume bahati yako ila ukilamba galasa, usrudi kulia, watu mnatafuta matatizo wakati mwingine.

NOTE: mimi najiuliza sana hili swali, inamaana huku jf ndio kuna wanawake wepesi wepesi au ndio kwenye wanawake wenye sifa hadi watu kukimbilia huku?
 
Hahaha we mchokozi mimi mwalimu wangu alikuwa ana nipima kasema

Mitihani hii ni ya masomo ya science sana mamichoro hivi mi nilisoma business shycom ndo maana nimefail

Yeye anaweza faulu ma reproduction sijui,Almentary canal huko na mengine
ha ha ha ha!shycome...nakumbuka wakati huo nikiwa buha..tulikuwa tunawafunga sana kwenye soka
 
Hahaha we mchokozi mimi mwalimu wangu alikuwa ana nipima kasema

Mitihani hii ni ya masomo ya science sana mamichoro hivi mi nilisoma business shycom ndo maana nimefail

Yeye anaweza faulu ma reproduction sijui,Almentary canal huko na mengine

unayemsema nishamfahamu mkuu, ni md.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom