Kila la kheri hapo juu tayari kuna Katavi,Hashycool,voice of reason,na Bubu Ataka Kusema,subiri wengine wanakuja
Hahahahahahahah, bila kumsahau the one and only Wiselady wa jamvi hili mwanana.
Najitokeza mbele yenu kutafuta rafiki atakayekuwa mchumba na hatimaye mume wangu. Awe mcha Mungu na mwenye upendo wa kweli. Pia anayejituma katika kutafuta maisha. Umri kuanzaia miaka 35 - 45, dini yake mkristo. Aliye serious na hilo tuwasiliane.
Ahahahahaaah, jamani hamna mwenye vigezo? Hebu toa wasifu wako bibie naona GodfreyTajiri hapo juu anaelekea...
Najitokeza mbele yenu kutafuta rafiki atakayekuwa mchumba na hatimaye mume wangu. Awe mcha Mungu na mwenye upendo wa kweli. Pia anayejituma katika kutafuta maisha. Umri kuanzaia miaka 35 - 45, dini yake mkristo. Aliye serious na hilo tuwasiliane.