mbona hujibu message wewe binti?
Bacha ukiona hivyo ujue MIMI ndio mshindi..... subiri taarifa rasimi hah hah
mbona hujibu message wewe binti?
Bacha ukiona hivyo ujue MIMI ndio mshindi..... subiri taarifa rasimi hah hah
hujui usemalo
tupo pamoja kitambo tu na huyu bidada,
shauri yako, kama umeshajiweka kwenye line ya mafanikio
hujui usemalo
tupo pamoja kitambo tu na huyu bidada,
shauri yako, kama umeshajiweka kwenye line ya mafanikio
Basi ni vizuri tutengeneze JF Single club,kama wakaka wote hap wako single halafu hapa hapa watu wapo???hivi nani hatofurahi kuambiwa Paka Mweusi na Michelle walikutana hapa JF??ikaanza kama utani then ikawa kweli?manake bwana hamna sehemu maalum ya kukutana na mwenzi wako?????:A S 465::wink2: Mods please,mtoto wetu wa kwanza tunamuita Jamii Forum....................LOL
Shabaaaaash...........Mwanzo mzuri huu,Mods please do ze nidful pliiiz..........
Ndio niko single
Mwaka sio wangu huu...:rain:
Kwanza hongera dada kwa kuvunja ukimya,
manake mmmh, kuisema inakuaga ngumu.
But, mi naamini huu ni wakati wako wa kukutana na Mume mwema kwako.
Na utampata tu, lazima February haifiki.
Hivi hi JF kuna wakaka single kweli??mbona mi siwaonagi wakichangamkia opportunities ka hizi, my dear ukimpata uje useme ili na ma-single ladies wengine warushe ndoano zao..............LOL
Hivi kuna walioshafanikiwa humu Jamvini kupata mwenza wao?..... Mods I said it Once and I will Say it Again, na wengi wameshasema... (Wengi Wape sasa Kama Demokrasia inatushinda humu Jamvini Tu Je huko Nje Tutaweza?)
Tunahitaji Singles forums itasaidia wengi....... tena if you ask me unaweza ukalifuta lile Jukwaa la Uchaguzi 2010 ukabadilisha Jina Tu sababu hilo Jukwaa halina faida... Ila seriously Single Forums iwe Sub Forum ya Mahusiano....
Hivi kuna walioshafanikiwa humu Jamvini kupata mwenza wao?..... Mods I said it Once and I will Say it Again, na wengi wameshasema... (Wengi Wape sasa Kama Demokrasia inatushinda humu Jamvini Tu Je huko Nje Tutaweza?)
Tunahitaji Singles forums itasaidia wengi....... tena if you ask me unaweza ukalifuta lile Jukwaa la Uchaguzi 2010 ukabadilisha Jina Tu sababu hilo Jukwaa halina faida... Ila seriously Single Forums iwe Sub Forum ya Mahusiano....
Husninyo, Hizi ni zama za teknolojia, wenzio huku wantengeza hela kwa kukutanishanahisi watu wanatania tu. Siamini kama mtu anaweza kutafuta mpenzi wa maisha mtandaoni. Ndio maana hakuna feedback maana.
nahisi watu wanatania tu. Siamini kama mtu anaweza kutafuta mpenzi wa maisha mtandaoni. Ndio maana hakuna feedback maana.
nahisi watu wanatania tu. Siamini kama mtu anaweza kutafuta mpenzi wa maisha mtandaoni. Ndio maana hakuna feedback maana.