Kinyoo
Member
- Apr 2, 2012
- 26
- 7
Nishakuwaga na mtoto tangu nikiwa form 4,so biashara hiyo nishamalizaga.Natafuta demu tasa tule bata mpaka tuzikane.
Sifa nyingine ni awe murembo kwa kiasi chake au zaidi,sio mnene wala kimbao mbao.Elimu ya kutosha kujieleza vizuri kwa lugha zote english na swahili.Umri usizidi miaka 30.mimi nina 36.Pia awe HIV free na awe tayari kupima afya in full.Mimi ni daktari so hiyo kazi nitafanya mwenyewe.
Mengine tutajuana mbele ya safari.....
walio serious tuuuu wa PM.........
Sifa nyingine ni awe murembo kwa kiasi chake au zaidi,sio mnene wala kimbao mbao.Elimu ya kutosha kujieleza vizuri kwa lugha zote english na swahili.Umri usizidi miaka 30.mimi nina 36.Pia awe HIV free na awe tayari kupima afya in full.Mimi ni daktari so hiyo kazi nitafanya mwenyewe.
Mengine tutajuana mbele ya safari.....
walio serious tuuuu wa PM.........