Mbona Uliyemtaja Ni MarehemuKama una mawasiliano na Malin Hasan Malin wasiliana naye juzi Kati Kuna kibaka alienda kuiba kwake akajikuta amelala usingizi Hadi alipokuja kuamshwa na polisi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu jiridhishe na taarifa yako. Usahihi ni kwamba Malin Hasan Malin ni Marehemu, apumzike kwa Amani.Kama una mawasiliano na Malin Hasan Malin wasiliana naye juzi Kati Kuna kibaka alienda kuiba kwake akajikuta amelala usingizi Hadi alipokuja kuamshwa na polisi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna kucheka na kimaMkuu tafuta mganga wa kienyeji unguja au tanga au nenda mikoani huko Chaka kabisa.. achana na waganga wa dar , hakikisha anaekuja kuiba anakufa ... Roho mbaya roho mbaya tu... Au vuka maji uende hapo unguja ..
Hakikisha mtu anakuwa chizi ... Hujiulizi kwanini unguja Hakuna vibaka na ikitokea lazima unyooshwe...
Ifike muda hakuna kucheka na jitu linalorudisha maendeleo ya mtu nyuma. Piga spana.
Kweli mkuu nashukuru kwa marekebishoMbona Uliyemtaja Ni Marehemu
Nadhani Ulikusudia Kusema Farouk Wa ITV Unguja
Nashukuru kwa kuniweka sawa kwa kumbukumbuMkuu jiridhishe na taarifa yako. Usahihi ni kwamba Malin Hasan Malin ni Marehemu, apumzike kwa Amani.
Tanga napo MashaAllahMkuu tafuta mganga wa kienyeji unguja au tanga au nenda mikoani huko Chaka kabisa.. achana na waganga wa dar , hakikisha anaekuja kuiba anakufa ... Roho mbaya roho mbaya tu... Au vuka maji uende hapo unguja ..
Hakikisha mtu anakuwa chizi ... Hujiulizi kwanini unguja Hakuna vibaka na ikitokea lazima unyooshwe...
Ifike muda hakuna kucheka na jitu linalorudisha maendeleo ya mtu nyuma. Piga spana.
Mkuu umeshapata, ninae south African boerboel, mbavu nene anayehitaji anichek inbox location Mwanza.
Ninao watatu nilifuga kwa ajili ya wizi wa kuku wezi walikuja na sumu wapi wakashindwa matokeo yake mbwa alikata waya aka tresspass akamchakaza mmoja wa wezi alipiga yowe tusingemuwah ilikuwa ni kesi ya mauaji..
Weka bei mkuuMkuu umeshapata, ninae south African boerboel, mbavu nene anayehitaji anichek inbox location Mwanza.
Ninao watatu nilifuga kwa ajili ya wizi wa kuku wezi walikuja na sumu wapi wakashindwa matokeo yake mbwa alikata waya aka tresspass akamchakaza mmoja wa wezi alipiga yowe tusingemuwah ilikuwa ni kesi ya mauaji..
700k tu MkuuWeka bei mkuu
Picha ziko wapi?700k tu Mkuu
Milioni moja nauza huyu anafaa kwa ulinziPicha ziko wapi?
OkayMilioni moja nauza huyu anafaa kwa ulinzi View attachment 1542247
Nakutumia DMPicha ziko wapi?
Mmmmmmm! Mbona bei rahisi hivyo?Milioni moja nauza huyu anafaa kwa ulinzi View attachment 1542247