R rodrick alexander JF-Expert Member Joined Feb 12, 2012 Posts 18,070 Reaction score 25,746 Jul 21, 2026 Thread starter #21 Nikifa MkeWangu Asiolewe said: Unataka kiasi Gani? Nitakutumia nitakazo Bure TU utalipia nauli kipindi unapokea ila utasubiri Hadi siku nafika mjini sitaiweza kutumia nauli zangu kwenda kutuma Bali nitata siku nikiwa na safari ya mjini(stend) Click to expand... Hamna tatizo mradi mawasiliano hata za kupanda nusu eka zinatosha. Shukrani mkuu
Nikifa MkeWangu Asiolewe said: Unataka kiasi Gani? Nitakutumia nitakazo Bure TU utalipia nauli kipindi unapokea ila utasubiri Hadi siku nafika mjini sitaiweza kutumia nauli zangu kwenda kutuma Bali nitata siku nikiwa na safari ya mjini(stend) Click to expand... Hamna tatizo mradi mawasiliano hata za kupanda nusu eka zinatosha. Shukrani mkuu
Joannah JF-Expert Member Joined May 8, 2020 Posts 22,715 Reaction score 54,592 Jul 22, 2026 #22 Matamu sana
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 175,957 Reaction score 194,011 Jul 22, 2026 #23 Ngoja waje kukupa muongozo... Cc: Mahondaw
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 74,452 Reaction score 183,560 Jul 23, 2026 #24 Smart911 said: Ngoja waje kukupa muongozo... Cc: Mahondaw Click to expand... Ushawahi kuyaona lo???
aise JF-Expert Member Joined May 16, 2018 Posts 8,086 Reaction score 22,743 Jul 23, 2026 #25 Mkuu unahitaji yapi hayo? Mimi nyumbani haya hapa ndiyo tunaita matango pori, ni sumu kama sijakosea Pia Kuna haya hapa tunaita matango ya kienyeji, yanaliwa mabichi au yakipikwa pia Sasa sijajua unahitaji yapi
Mkuu unahitaji yapi hayo? Mimi nyumbani haya hapa ndiyo tunaita matango pori, ni sumu kama sijakosea Pia Kuna haya hapa tunaita matango ya kienyeji, yanaliwa mabichi au yakipikwa pia Sasa sijajua unahitaji yapi