Natafuta mbegu za matango pori

Unataka kiasi Gani?
Nitakutumia nitakazo Bure TU utalipia nauli kipindi unapokea ila utasubiri Hadi siku nafika mjini sitaiweza kutumia nauli zangu kwenda kutuma Bali nitata siku nikiwa na safari ya mjini(stend)
Hamna tatizo mradi mawasiliano hata za kupanda nusu eka zinatosha.
Shukrani mkuu
 
Mkuu unahitaji yapi hayo?
Mimi nyumbani haya hapa ndiyo tunaita matango pori, ni sumu kama sijakosea

Pia Kuna haya hapa tunaita matango ya kienyeji, yanaliwa mabichi au yakipikwa pia

Sasa sijajua unahitaji yapi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…