Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,521
- 13,999
Heshima kwenu wote.
Nina hitaji kununua mashine ya kutolea vumbi kwenye madirisha aluminum au mafundi kompyuta huitumia pia,hiyo mashine inatumia umeme na hupuliza upepo kwa kazi.
NB.Nimesahau jina lake,ila naamini nimeeleweka.
Mwenye nayo aje PM na details na bei yake.
Asanteni.
Nina hitaji kununua mashine ya kutolea vumbi kwenye madirisha aluminum au mafundi kompyuta huitumia pia,hiyo mashine inatumia umeme na hupuliza upepo kwa kazi.
NB.Nimesahau jina lake,ila naamini nimeeleweka.
Mwenye nayo aje PM na details na bei yake.
Asanteni.