Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 2,931
- 5,989
hahahahaha hatari sana mkuu wangu.... mabosi tayari washafahamika aisee.... karibu sana mkuu uje bhana tulisongeshe pakiwaka ni kuingia manta tu hakuna namna hahah..Haahahh acha kaka tumejuana wapiga boya na mabosi wetu pia
Baadh ya vijana kanda maalum wanaspid hatar utashangaa mtu anaosha sa nane usku
Mfuko katoa wap na kasaga saa ngap anajue yeye π π π
Kila la heri mchimbaji nitakuja matanda kutembea ila mzuka ukpanda ntasaula nizame tu duarani, naweza okoa hali bado teteππ
Hhaahah manta pana mzuka wake mkuu, hasa kukiwa na ishara za mkanda kuwaka, daah na ukiwaka hadi ndege wa angani wanajua pilika kama zoote kila kona, utaskia had mama lishe wasema duara X mfuko una simamia gram7 wakat si kwelππhahahahaha hatari sana mkuu wangu.... mabosi tayari washafahamika aisee.... karibu sana mkuu uje bhana tulisongeshe pakiwaka ni kuingia manta tu hakuna namna hahah..
hahahhahaha hayo mambo ya gram 7 yamepitwa na wakati mkuu siunajua siku hizi tunachimba kisharobaro.... utaskia maduara ya pale chinichini mfuko mmoja wanauzia milioni....na hapo juu juu wanauzia mia tano....lazma sharubu zisimame kama paka mkuu hahaha... karibu sana mkuu huko kwenye nyanya hakuna misamiati pia?!..Hhaahah manta pana mzuka wake mkuu, hasa kukiwa na ishara za mkanda kuwaka, daah na ukiwaka hadi ndege wa angani wanajua pilika kama zoote kila kona, utaskia had mama lishe wasema duara X mfuko una simamia gram7 wakat si kwelππ
Nmekarbia sana kuja mkuu nyanya zkishaanza kuwa nyng nafunga genge naja ntakuwa sipig hela tenaππ
Hhahahah sawa nmekusoma mkuu watatamka bei ya mfuko π π πhahahhahaha hayo mambo ya gram 7 yamepitwa na wakati mkuu siunajua siku hizi tunachimba kisharobaro.... utaskia maduara ya pale chinichini mfuko mmoja wanauzia milioni....na hapo juu juu wanauzia mia tano....lazma sharubu zisimame kama paka mkuu hahaha... karibu sana mkuu huko kwenye nyanya hakuna misamiati pia?!..
hahaha mpaka hapa nmepoteana mkuu....Assil F1 tena?!....πHhahahah sawa nmekusoma mkuu watatamka bei ya mfuko π π π
Misamiati ipo mingi ukiacha ule masalo tuliouzoea wengi, ipo duara butu ujue hyo n Assil F1tutaenda hukoo nyuz za kilimo biasharaππ
Ivi kumbe akuna wawekezaji kabisa ngoja nikauze nyumba nirudi kitu kinasoma ivyo natafuta partner watu wanaleta kona kona kibao na marudio ni ya kuchukua mtoni sio ya kununua wa Tanzania atuna bahati nikiuza nyumba mtu asinifate pm kuniuliza ni wapi j5 naondoka.View attachment 1166134
Ivyo ndio inapaswa kua sio diabre kibao.Hahahhaa all the best ...hela ngumu sana sasa hv
Ivyo ndio inapaswa kua sio diabre kibao.
mkuu kuwa mpole bhana...Ivyo ndio inapaswa kua sio diabre kibao.
Hakuna urahis kihvyo kama unavyotaka ww iwe...!uaminifu umekuwa zero siki hiz..pungza jazba
Sina hasira mkuu tatizo watu wanakuja pm af wanaleta story kibao km pesa una au uwezi unasema sio vilienda vikarudi unajua izo ni pesa kwan?.nan! Atawekeza makalio wote tutaweka pesa na wote tutapata pesa mwisho jf ni kijiwe cha story tu km vijiwe vingine tuendelee kunywa kahawa.mkuu kuwa mpole bhana...
Mimi ni mwanamke mjasiriamali.
Nimewaza na Nimeamua kutafuta marafiki wafanyabiashara hasa ya madini ili tupeane uzoefu na tekniks za kuhusu hii biashara (how to handle the game).
Iwe ni kota au anamiliki eneo la uchimbaji au awe ana mwalo nitafurahi pia..!
Mimi pia niko kwenye biashara hii ya madini.
Nahitaji aliye serious tusaidiane na kubadilishana mawazo pia...iwe mwanamke au mwanamume!