Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 2,921
- 5,960
hahahahaha hatari sana mkuu wangu.... mabosi tayari washafahamika aisee.... karibu sana mkuu uje bhana tulisongeshe pakiwaka ni kuingia manta tu hakuna namna hahah..Haahahh acha kaka tumejuana wapiga boya na mabosi wetu pia
Baadh ya vijana kanda maalum wanaspid hatar utashangaa mtu anaosha sa nane usku
Mfuko katoa wap na kasaga saa ngap anajue yeye ๐ ๐ ๐
Kila la heri mchimbaji nitakuja matanda kutembea ila mzuka ukpanda ntasaula nizame tu duarani, naweza okoa hali bado tete๐๐