Natafuta management, kipaji changu kinaozea mtaani

Natafuta management, kipaji changu kinaozea mtaani

kwa iyo hata kazi ujafanya ilo tatizo tengeneza kwa project mm mwenyewe ninazo project za ivyo cha muhimu anza kutengeneza kwanza sio maneno tpu
nina project mpaka naumwa.................hiyo idea niliyopost ndo kidogo imekaa kibongo bongo
 
Hata diamond mwenyewe hana website mtengenezee mwambie atakua anaweka updates zake zote,bookings,tour,video zake za nyuma,backstage everything yani wewe unaweza kupiga code lakini unashindwa kujiongeza?
huo msamiati wa kujiongeza natamani nimjue mwanzilishi wake........
 
mawazo ni ngumu mtu kku saidia uwajui wa bongo ehee au andika proposal peleka kwenye mitandao ya simu tigo,voda,airtel
kuna watu tayari washanifata inbox wanataka tufanye kazi........sijaandika proporsal wala business plan.......yaani idea tu imetosha kufanya kazi na watu ambao tunashare the same interest
 
kuna watu tayari washanifata inbox wanataka tufanye kazi........sijaandika proporsal wala business plan.......yaani idea tu imetosha kufanya kazi na watu ambao tunashare the same interest
sasa kisomi hatuendi ivyo business plan au proposal ni nzuri itakulinda hata ukitaka kusajiri project yako
 
Mdogo wangu nataka nikushauri kidogo, Mimi pia ni Creativity kama wewe! Niko na ma ideas kibao na nayatekeleza moja baada ya jingine, achana na Mawazo ya wajinga ya kukukatisha tamaa, kwani sio kila mtu anaweza Ku create kitu hata kichwani Tu, wengi hawana kipaji hicho wanasubiri mshahara mwisho wa Mwezi mpaka kufa kwao.

Ukiwa unafikiria kutengeneza kitu kichwani usikatishwe tamaa na umasikini Wako au kukosekana kwa capital, wewe tengeneza idea yako kichwani then iamishie kwenye Makaratashi (Business plan), then tokea hapo ndo unaweza kuruhusu wazo la wapi ntapata Capital ndo litawale! Usiogope kuitengeneza kichwani idea yako hata ikiwa kubwa kiasi gani, Wajinga wasikukatishe tamaa coz wao hata Bill Gates angewaambia Mawazo na ndoto zake wangemwambia "Unawaza mambo makubwa ambayo hutaweza kutekeleza"

Duniani Kuna watu wenye pesa (Companies) lakini hawana ideas mpya, halafu Kuna Wabunifu masikini kama wewe lakini hawana Capital, hakuna mfanyabiasha ambaye atakataa kuwekeza biashara itayoleta faida, uzuri idea yako haiitaji mtaji mkubwa hivyo, zaidi ya vitendea kazi na kufanya promotion ya App yako Worldwide, na Social network zimefanya maisha yamekua rahisi.

Tengeneza Business plan Kisha tembelea watu wenye uwezo ama Kampuni kubwa then washawishi wawekeze, ila vipo vitu unaweza kufanya kabla ya kutafuta Msaada wa mtaji, hiyo Computer ya best yako japo anakumaind akiona Una type codes (japo siamini) tumia hiyo kutengeneza hiyo App yako, sidhani kama utashindwa kununua Bundles za internet, achana na Mawazo ya office kwa sasa, nakuhakikishia kama utatengeneza hiyo App yako ikawa inapatikana online, ukachukua na Business plan yako ukawafata Wadau, hawachomoi...

Tatizo letu vijana tunataka msaada hata vitu ambavyo tungeweza kuanza wenyewe, ni ngumu kupata msaada kwa maneno tu, unamshawishi mtu aweke pesa kwenye idea yako, unamweleza idea yako, mpe business plan, mwambie nimetengeza App na ipo online, na uwezo wangu umeishia hapo, nahitaji pesa kwa promotion, Kuandaa mikataba na artist and so and so, kwa nini mtu asiweke pesa???
 
kuna watu tayari washanifata inbox wanataka tufanye kazi........sijaandika proporsal wala business plan.......yaani idea tu imetosha kufanya kazi na watu ambao tunashare the same interest
Nimekukubali mkuu kwa style yako ya ku trap,aisee we mkali kweli
Hivi ndio vijana tunatakiwa kuwa wabunifu
 
Mdogo wangu nataka nikushauri kidogo, Mimi pia ni Creativity kama wewe! Niko na ma ideas kibao na nayatekeleza moja baada ya jingine, achana na Mawazo ya wajinga ya kukukatisha tamaa, kwani sio kila mtu anaweza Ku create kitu hata kichwani Tu, wengi hawana kipaji hicho wanasubiri mshahara mwisho wa Mwezi mpaka kufa kwao.

Ukiwa unafikiria kutengeneza kitu kichwani usikatishwe tamaa na umasikini Wako au kukosekana kwa capital, wewe tengeneza idea yako kichwani then iamishie kwenye Makaratashi (Business plan), then tokea hapo ndo unaweza kuruhusu wazo la wapi ntapata Capital ndo litawale! Usiogope kuitengeneza kichwani idea yako hata ikiwa kubwa kiasi gani, Wajinga wasikukatishe tamaa coz wao hata Bill Gates angewaambia Mawazo na ndoto zake wangemwambia "Unawaza mambo makubwa ambayo hutaweza kutekeleza"

Duniani Kuna watu wenye pesa (Companies) lakini hawana ideas mpya, halafu Kuna Wabunifu masikini kama wewe lakini hawana Capital, hakuna mfanyabiasha ambaye atakataa kuwekeza biashara itayoleta faida, uzuri idea yako haiitaji mtaji mkubwa hivyo, zaidi ya vitendea kazi na kufanya promotion ya App yako Worldwide, na Social network zimefanya maisha yamekua rahisi.

Tengeneza Business plan Kisha tembelea watu wenye uwezo ama Kampuni kubwa then washawishi wawekeze, ila vipo vitu unaweza kufanya kabla ya kutafuta Msaada wa mtaji, hiyo Computer ya best yako japo anakumaind akiona Una type codes (japo siamini) tumia hiyo kutengeneza hiyo App yako, sidhani kama utashindwa kununua Bundles za internet, achana na Mawazo ya office kwa sasa, nakuhakikishia kama utatengeneza hiyo App yako ikawa inapatikana online, ukachukua na Business plan yako ukawafata Wadau, hawachomoi...

Tatizo letu vijana tunataka msaada hata vitu ambavyo tungeweza kuanza wenyewe, ni ngumu kupata msaada kwa maneno tu, unamshawishi mtu aweke pesa kwenye idea yako, unamweleza idea yako, mpe business plan, mwambie nimetengeza App na ipo online, na uwezo wangu umeishia hapo, nahitaji pesa kwa promotion, Kuandaa mikataba na artist and so and so, kwa nini mtu asiweke pesa???
thanks mkuu nimegain kitu.........
 
Ok safi kuwa na idea n nzuri ila idea aikai kichwani n vzuri ukaandika business plan huo n ushauri tu wa kulinda mawazo yako jua kwamba wapo watu sio waaminifu
 
Zingatia ushauri wa powder mfano kuna jamaa alitengeneza app nzuri kisha akaenda kampuni wakamsaidia maana mm najua kama uwezo wa kupiga code unao sidhani kama utashindwa kufanya ukisha maliza ndio unaomba msaada wa hosting lakini code aziitaji maneno na wewe kma programme harafu auna pc ni mshangao xana
 
Ok safi kuwa na idea n nzuri ila idea aikai kichwani n vzuri ukaandika business plan huo n ushauri tu wa kulinda mawazo yako jua kwamba wapo watu sio waaminifu
kinacholinda creativity ya mtu ni copyrigtht protection........i will create a piece of software to write the business plan for me
 
Zingatia ushauri wa powder mfano kuna jamaa alitengeneza app nzuri kisha akaenda kampuni wakamsaidia maana mm najua kama uwezo wa kupiga code unao sidhani kama utashindwa kufanya ukisha maliza ndio unaomba msaada wa hosting lakini code aziitaji maneno na wewe kma programme harafu auna pc ni mshangao xana
pc nilikuwa nayo iliibiwa..............kampuni gani mkuu?
 
kukariri nacho ni kipaji...nimekaririri msahafu mzima wa kiarabu hata code nkizikariri ni poa tu as long as i know what is going on behind the scene.........any way wazo la kuwafata game mlimany city na american supermarket ni zuri ntalifanyia kazi.......baniani mbaya, kiatu chake ni dawa
Umekariri lazima usaidiwe wakati unaweza jisaidia mwenyewe..hio ndo ilikua oint usiwafate game mlimani city maana wanayo website yao na matangazo yao wanaweka kwenye hio website..ila unaweza tumia website yao kama reference ya kuwatengenezea hao american supermarket...kukariri msahafu kukariri kitu hakuwezi kukuingizia kipato bali akili ya ziada inahitajika..ili utengeneze hela ndo tofauti kati ya mwenye nacho na asiye nacho...Ova
 
Copyright protection lazma upeleke wazo kwa maandishi usiwe mbishi unapo omba ushauri sio lazma ukubari wote nakutakia safari njema
 
Back
Top Bottom