Natafuta management, kipaji changu kinaozea mtaani

Natafuta management, kipaji changu kinaozea mtaani

kama kweli unajiamini, andika business plan. wakiifanyia assesment wakaona inawezekana basi utapatiwa funds. hayo mambo mengine sijui marketing, management, blah blah yatakuja mbeleni. huwezi fanya vyote at once. by the way kwa dunia ya sasa hv kila mtu ana shida zake. from no where hawez akakufund hela kisa umeweka namba ako hapo ya tigo pesa. hata charity organizations hazipewi hela kwa namna hiyo. i hope umenisoma
 
kama kweli unajiamini, andika business plan. wakiifanyia assesment wakaona inawezekana basi utapatiwa funds. hayo mambo mengine sijui marketing, management, blah blah yatakuja mbeleni. huwezi fanya vyote at once. by the way kwa dunia ya sasa hv kila mtu ana shida zake. from no where hawez akakufund hela kisa umeweka namba ako hapo ya tigo pesa. hata charity organizations hazipewi hela kwa namna hiyo. i hope umenisoma
nimekusoma mkuu asante kwa mchango wako
 
yani we kijana ukiyatwist kidogo tu mamipango yako bs wew ni kamillionea kama sio kabillionea flan hv ka kesho kutwa, nadhani hapo kwa kuanzia ni pc then otherz will be next. vp wazaz na ndugu hakuna anaefaham hyo talent yako?
 
yani we kijana ukiyatwist kidogo tu mamipango yako bs wew ni kamillionea kama sio kabillionea flan hv ka kesho kutwa, nadhani hapo kwa kuanzia ni pc then otherz will be next. vp wazaz na ndugu hakuna anaefaham hyo talent yako?
wazazi na ndugu wanajua kwamba haya mambo niko vizuri.........but financially hawako vizuri so mi mwenyewe ndo najaribu kufight huku na kule ili mradi malengo yafanikiwe
 
kwa iyo hata kazi ujafanya ilo tatizo tengeneza kwa project mm mwenyewe ninazo project za ivyo cha muhimu anza kutengeneza kwanza sio maneno tpu
 
mawazo ni ngumu mtu kku saidia uwajui wa bongo ehee au andika proposal peleka kwenye mitandao ya simu tigo,voda,airtel
 
Tatizo umekariri wewe jipange nenda american supermarket hawana website wala nini waambie utawatengenezea website itakayo wawezesha kufanya kazi zao na ku update information kama duka la game mlimani city waambie wakupe kiasi fulani kazi itakapo kamilika ukimaliza unanunua hio laptop,modem na kifurushi juu
 
Hata diamond mwenyewe hana website mtengenezee mwambie atakua anaweka updates zake zote,bookings,tour,video zake za nyuma,backstage everything yani wewe unaweza kupiga code lakini unashindwa kujiongeza?
 
mkuu kwanza hii pc ninayotumia naifata kilometer mbili kijiweni na mwnyewe anamind kinoma akikuta natype vitu asivyovijua kwenye pc yake......so ningepata pc yangu ingekuwa vizuri......management ninayoitafuta ni ile itakayosimamia shughuli nzima ya funding
Nakushauri uandike hiyo idea yako vizuri afu uwatumie wale AirtelFursa naona wanasaidia watu dizain yako
 
Aisee ila jamaa naona masifaaa,yaani kama nakuona vile mdogo wake duli
Halafu hiyo previous project naona kamaimekaa ki samba mapangala ochestra virunga vilee.
Inawezekana mie mgum kuelewa ila acha tusubiri,lakini bado sana
We hata Diamond hujui utampataje,na babu tale hujui hata utampata vipi?
Mkuu tuliaaaa bado haswaaaa,sio kwamba nakukatisha tamaa ila kuwa Programmer lazima uwe na talent ya kitu husika,programmers ni wengi sana hata Diamond mwenye anoa Programmers wake,ila kama mziki nawanamuziki haikuwa hobby yako ni tabu sana.hii inaonyesha wanamuziki wengi sana hujui hata wanataka nini.
Hesabu zako hapo juu,zipo kimaandishi sana kuliko kiuhalisia,na ndio maana nimesema hivyo.
Jaribu sana kufikiria vitu vinavyowezekana na sio vinavyosadikika kuwezekana.
Napenda unavyojituma na kujaribu,ila mie hupenda kumpa mtu ukweli,Zone hiyo sio level yako kabisaa,Music industry bado hujaijua kabisaaaa
 
Aisee ila jamaa naona masifaaa,yaani kama nakuona vile mdogo wake duli
Halafu hiyo previous project naona kamaimekaa ki samba mapangala ochestra virunga vilee.
Inawezekana mie mgum kuelewa ila acha tusubiri,lakini bado sana
We hata Diamond hujui utampataje,na babu tale hujui hata utampata vipi?
Mkuu tuliaaaa bado haswaaaa,sio kwamba nakukatisha tamaa ila kuwa Programmer lazima uwe na talent ya kitu husika,programmers ni wengi sana hata Diamond mwenye anoa Programmers wake,ila kama mziki nawanamuziki haikuwa hobby yako ni tabu sana.hii inaonyesha wanamuziki wengi sana hujui hata wanataka nini.
Hesabu zako hapo juu,zipo kimaandishi sana kuliko kiuhalisia,na ndio maana nimesema hivyo.
Jaribu sana kufikiria vitu vinavyowezekana na sio vinavyosadikika kuwezekana.
Napenda unavyojituma na kujaribu,ila mie hupenda kumpa mtu ukweli,Zone hiyo sio level yako kabisaa,Music industry bado hujaijua kabisaaaa
Mmezoea porojo ndio maana unasema hesabu zimekaa kimaandishi sasa sijui unataka zikae kwa nota ama vp.. if you can't say something good about something keep it with you kuliko kufunguka hata isivyohitajika...wabongo bhana
 
Mmezoea porojo ndio maana unasema hesabu zimekaa kimaandishi sasa sijui unataka zikae kwa nota ama vp.. if you can't say something good about something keep it with you kuliko kufunguka hata isivyohitajika...wabongo bhana
Endeleeni kumpoteza mwenzenu huku umri ukimkata,halau msubiri siku akirudi tena kuwapa matokeo yake.
Nipo na Programers wengi sana kwenye maazingira ya kazi,sasa ndio maana nasema kijana anapotea aanze kwanza kucheza kwenye Level yake na sio kila kitu kwamba kinaweza kufanikiwa et kisa ni Programer,wakuu hembu someni hata certificate za biashara ili kujazia na kipaji.
lakini mbwembwe tu hazisaidii kitu,namshauri kama mdogo wangu kwamba afikirie kitu kingine,afanye kitu ambacho kina relate na talent yake ili aweze kufanya programs hizo kwa umakini zaidi.
 
Mmezoea porojo ndio maana unasema hesabu zimekaa kimaandishi sasa sijui unataka zikae kwa nota ama vp.. if you can't say something good about something keep it with you kuliko kufunguka hata isivyohitajika...wabongo bhana
kama humjui angalia hapa,ndio utajua kwamba maisha yamemvuruga kijana,badala ya kuwaza madogo anawaza makubwa yasiyowezekana
Nipeni dili hapa town nakufa njaa mwenzenu
 
walioelewa nilichokiandika wamenifata inbox na tayari wanataka nifanye nao kazi ........thanks in advance and haters keep on posting
 
Tatizo umekariri wewe jipange nenda american supermarket hawana website wala nini waambie utawatengenezea website itakayo wawezesha kufanya kazi zao na ku update information kama duka la game mlimani city waambie wakupe kiasi fulani kazi itakapo kamilika ukimaliza unanunua hio laptop,modem na kifurushi juu
kukariri nacho ni kipaji...nimekaririri msahafu mzima wa kiarabu hata code nkizikariri ni poa tu as long as i know what is going on behind the scene.........any way wazo la kuwafata game mlimany city na american supermarket ni zuri ntalifanyia kazi.......baniani mbaya, kiatu chake ni dawa
 
Back
Top Bottom