Natafuta mama wakunilea

Natafuta mama wakunilea

Kwa shuga mamy liekuwa ready to take me am here.0717-927771

Njaa zikizidi matokeo yake vijana wanataman vitu kama hivi.JK hebu fanya mikakati upunguze hili janga la unemployment.
 
kwa shuga mamy liekuwa ready to take me am here.0717-927771

kweli yale mambo ya akina obama camerron(wazir mkuiu wa uingereza) naanza kuona dalili zake hapa bongoland!! Kijana acha ujinga unataka kuolewa...tena na jimama..mungu tuepushie mbal!!!
 
dah! hii migomo sio ishu! yani walimu kugoma kidogo tu, katoto ka darasa la tatu kanataka shuga mami! kakalelewe! mtafute q chief atakupeleka mombasa huko ndo wamejaa!
 
utaki mwanaume wa kukulea? sema tupo tumeajaa mjini,tunatembea na mavi tu kwenye kibiriti! kama vipi tupe miss tanzania iyo tuilee!
 
Tafuta na jibaba ili jimaa likishindwa kukulea jibaba likamate usukani.
 
pole kijana kwa kutaka vya bure ondoa hayo mawazo hayo majimama yatakupa Ukimwi tu piga moyo konde tafuta kazi ya kufanya kama tatizo ni pesa au kama tatizo ni wanawake kuna mabinti kibao wewe ni mdomo wako
 
Mbona mnamtisha hvyo! Naye aje atuambie kama kasha mpata au vp? Maana kuna mi'mama hapa inakiu sana na damu changa, nitamtupia mmoja wa kirangi mweupeee, muneneeee na chapaaa ipo!
 
O.k mtoto mzuri kabla sijaamua kukuchukua nikulee nataka kujua ushaweza kwenda chooni mwenyewe au bado unajinyea?ili nijue kama yaya aliyepo atakufaa
 
lol, jf inamambo.
We endekeza njaa tu, zitakutokea puani.
Jitume mwanaume.
 
Loh....
Kwa style hii....
Kadri siku zinavyoenda ndio idadi ya wanaume inazidi kupungua....
 
mie ni mbaba, ila nalea hata vijana, namba yangu inaishia 617, pokea basi.

Yaani umemjibu sawiia nitadhamini pambano, maana JF siku hizi hakuna jipya. Natamani mods wangewatafutia sehemu yao
 
Kwa shuga mamy liekuwa ready to take me am here.0717-927771

haa haaa get up stand up bwana acha hizooo,, mlee mwanamke siyo akulee wewe,, (dont reverse the reality, it will cost you)
 
Kwa shuga mamy liekuwa ready to take me am here.0717-927771
Kumbe umejiunga JF juzi kwa lengo la kutafuta Shuga Mammy! Nakupa pole sana, weka picha yako hapo wakuone kabisa, isijekuwa katoto ka darasa la nne, halafu ulipate limama kama mamako si balaa hapo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom