Natafuta mama mtu mzima tuwe wapenzi

Natafuta mama mtu mzima tuwe wapenzi

tyganino

Member
Joined
Mar 18, 2013
Posts
21
Reaction score
6
mi ni kijana wa miaka 22 kama kina any mature lady interested in young boys...am here just pm me tuongee
 
mi ni kijana wa miaka 22 kama kina any mature lady interested in young boys...am here just pm me tuongee

Ungeanza kwanza na wenye rika lako upate uzoefu utakaokufikisha 'kuparamia' mijimama, hata shule ulianzia chekechea, primary, kisha kayumba sec schools etc..

Naona leo umeamka vibya dogo!
 
Miaka 22 tuu.. ata mboga haijakomaa... Mdogo wangu kwanza najua huna kazi na unataka maisha malaini, unatafuta magonjwa tuu... wanaume tumeumba matesooo na kuhangaika.. we endelea kukalisha nyago subiria kulelewa... KOMAAA!!
 
Wengi wa hao waleaje ni wale waliofiwa na waume ambao kwa gharama zozote wanaangalia pia wa kuwamaliza!najua ukilelewa huna option ya condom lazima ukubali nyama kwa nyama na zaidi hakuna mmama wa kukupa mtaji au kukujengea nyumba zaidi utapewa vinywaj kwenda sehemu za starehe au kama ni cash kwenye laki je uko teyar kufa kwa mateso kwa tsh laki
 
we dogo!.....wafa... kimbia zinaa mbaya zaidi na mama zako!
 
Wewe bado ni kijana mdogo sana, ni bora utafute kazi ya kufanya ambayo itakuletea faida wewe nas familia yako kulikio kujitumbukizaa ktk mapenzi ya kinamama wazee , ambao watakutumia kwa ngono tuu, na kama sio kukupa HIV. Dogo fanya kazi usipende " kitonga"
 
Ahahahaaaaaaaaaaaa...dogo msimlaumu jamani..yeye amebalehe juzi jana kaonja binti wa miaka 18 kaona tamu anaamini akila tunda LA MTU MZIMA WA SAYA 40 YRS lililokomaa na kuva vizuri utamu utakuwa mara 1000 ya yule mdogo aliyemla jana.....ahahahahha that curious boy.
 
hahahaha dogo anatafuta lana huyo miaka 22 kibamia kiingie kwa matured lol
 
Kwani humu JF ndio kusema hamna wabemendaji watoto kweli? leo kila mtu anakana ......Dogo wapo sana wewe nenda pande za buguruni utawapata wamama kibao wamejipanga ila ndio uwe na pumzi haswaaa
 
Back
Top Bottom