Salam Wana jukwaa.
Mimi ni mfanyabiashara. Natafuta machimbo ya nafaka Kanda ya ziwa na viunga vyake.
Nataka nipate nafaka kutoka kwa wakulima moja kwa moja au wafanyabiashara ambao Bei zao ziko chini sana
Nafaka ninazohitaji ni;
1 Karanga
2 Maharage njano
3 Dengu
4 Kunde, na
5 Njugu mchanganyiko
Mikoa ambayo ningependa machimbo yake ni;
Mwanza
Shinyanga
Kagera (maharage njano
Mara
Kigoma (maharage njano)
Pia Dodoma kwa ajili ya karanga.
Kama wewe ni mkulima wa nafaka tajwa au unajua machimbo ya nafaka hizo katika mikoa tajwa karibu Sana pm
Asanteni sana
Mimi ni mfanyabiashara. Natafuta machimbo ya nafaka Kanda ya ziwa na viunga vyake.
Nataka nipate nafaka kutoka kwa wakulima moja kwa moja au wafanyabiashara ambao Bei zao ziko chini sana
Nafaka ninazohitaji ni;
1 Karanga
2 Maharage njano
3 Dengu
4 Kunde, na
5 Njugu mchanganyiko
Mikoa ambayo ningependa machimbo yake ni;
Mwanza
Shinyanga
Kagera (maharage njano
Mara
Kigoma (maharage njano)
Pia Dodoma kwa ajili ya karanga.
Kama wewe ni mkulima wa nafaka tajwa au unajua machimbo ya nafaka hizo katika mikoa tajwa karibu Sana pm
Asanteni sana