Natafuta laptop (tarakilishi mpakato)

Natafuta laptop (tarakilishi mpakato)

crusader_jr,

Pole Sana Mkuu, Kwa Ufundi Wangu Huu Nina Miaka 5 Sasa Kwenye Laptop Sijawahi Kuona Laptop Inakaa Charger Masaa 12 Ukiwa Unatumia.

Kwa Specification Ulizotaja Huwezi Kupata Laptop Kama Hiyo Kwa Price Yako

Goodluck

Zipo mimi ninayo . Dell ilikuwa inakaa masaa 12 na nusu wakati ilivyokuwa mpya. Kwa sasa inakaa masaa 8 baada ya kutumia karibu miaka miwili, Sema siyo kwa bei hiyo aliyotaja mkuu ajipange.....
 
Zipo mimi ninayo . Dell ilikuwa inakaa masaa 12 na nusu wakati ilivyokuwa mpya. Kwa sasa inakaa masaa 8 baada ya kutumia karibu miaka miwili, Sema siyo kwa bei hiyo aliyotaja mkuu ajipange.....
Dell Model Gani?
 
Inspiron Ziko Nyingi Bro Kuna N Series, Box Na Nyinginezo Kama 15 Ambayo Mim Naamin Naamin Ndio Version Bora Na Haikai Charge 12 Hours Ukiwa Unaitumia.

Mimi Naongelea Experience Yangu Kama Tech Personnel Na Wewe Umetoa Yako Kama Mtumiaji.

Nahitaji Kuijua Hiyo Model Au Hata Picha Yake Ili Nifunguke Akili.

Nadhan Umekiona Alichofanya Mw RCT, Fanya Hivyo Pia .

Tupe Madini.
 
Hapo kwanza huwezi pata laptop mpya kwa hio bei yenye hizo specs na pia used ni ngumi ila possible ukiwa mtu wa kufuatilia sana.

Ili laptop itoboe masaa 10+ inatakiwa iwe na processor zinazokula umeme kidogo, ram kama za simu ambazo zinatumia umeme mdogo, storage za ssd ama emmc ama ufs, Hdd inakula zaidi, na display hizi za kisasa zinazotumia chini ya watt.

Processor za bei rahisi zinazokula umeme kidogo ni hizi pentium na celeron silver hazitumii technology kama i3 na i5 zinakuwa ni dhaifu zaidi, laptop zenye pentium silver ama celeron zinatumia pia emmc badala ya ssd kusave cost. Mfano mzuri ni Acer Aspire one, nilinunua laki 4 kkoo inakaa na chaji masaa 17 offline na test ya laptopmag ni masaa 14 kwa wifi inamaana kwa modem unaweza pata masaa ya kutosha pia 7+.

Ila nunua hizi laptop kama ukaaji chaji kwako ni muhimu kuliko kitu chochote sahahu fifa 19, sijui photoshop, kuedit video na kazi nyengine yoyote nzito.

Processor ambazo zimebalance perfomance na pia zinakaa sana na chaji ni core m Series aka Y series inaweza kuwa i3 ama i5 ama i7 lakini inaishiwa na Y kwa mbele. Hizi zinakuwa kwenye ultrabook zote za kisasa sema bei nazo ni ndefu sana nyingi ni dola 700 kupanda.

Option nyengine ambayo itabidi uende njia used kutafuta laptop ya bei rahisi na extended batyery. Kanunua lenovo Thinkpad series then inunulie 9 ama 6 cell replacement battery pia utatoboa masaa 10.

Mfano thinkpad x240 zimejaa kibao kkoo bei around laki 4, ama x230 bei around laki 3 chenji inayobakia unaenda kununua battery lake extended kubwa, sema inakuwa na kitako kikubwa ukipachika battery ya namna hii kama picha ya kulia inavyoonesha
FHmR7Ea6YJ4CbpnXcNL2W5-650-80.jpg


X240/230 zinakaa na chaji masaa 20 kwa test ya laptopmag
 
Hapo kwanza huwezi pata laptop mpya kwa hio bei yenye hizo specs na pia used ni ngumi ila possible ukiwa mtu wa kufuatilia sana.

Ili laptop itoboe masaa 10+ inatakiwa iwe na processor zinazokula umeme kidogo, ram kama za simu ambazo zinatumia umeme mdogo, storage za ssd ama emmc ama ufs, Hdd inakula zaidi, na display hizi za kisasa zinazotumia chini ya watt.

Processor za bei rahisi zinazokula umeme kidogo ni hizi pentium na celeron silver hazitumii technology kama i3 na i5 zinakuwa ni dhaifu zaidi, laptop zenye pentium silver ama celeron zinatumia pia emmc badala ya ssd kusave cost. Mfano mzuri ni Acer Aspire one, nilinunua laki 4 kkoo inakaa na chaji masaa 17 offline na test ya laptopmag ni masaa 14 kwa wifi inamaana kwa modem unaweza pata masaa ya kutosha pia 7+.

Ila nunua hizi laptop kama ukaaji chaji kwako ni muhimu kuliko kitu chochote sahahu fifa 19, sijui photoshop, kuedit video na kazi nyengine yoyote nzito.

Processor ambazo zimebalance perfomance na pia zinakaa sana na chaji ni core m Series aka Y series inaweza kuwa i3 ama i5 ama i7 lakini inaishiwa na Y kwa mbele. Hizi zinakuwa kwenye ultrabook zote za kisasa sema bei nazo ni ndefu sana nyingi ni dola 700 kupanda.

Option nyengine ambayo itabidi uende njia used kutafuta laptop ya bei rahisi na extended batyery. Kanunua lenovo Thinkpad series then inunulie 9 ama 6 cell replacement battery pia utatoboa masaa 10.

Mfano thinkpad x240 zimejaa kibao kkoo bei around laki 4, ama x230 bei around laki 3 chenji inayobakia unaenda kununua battery lake extended kubwa, sema inakuwa na kitako kikubwa ukipachika battery ya namna hii kama picha ya kulia inavyoonesha
FHmR7Ea6YJ4CbpnXcNL2W5-650-80.jpg


X240/230 zinakaa na chaji masaa 20 kwa test ya laptopmag
mkuu karibu jukwaani maana uwepo ni muhimu sana na.shukrani kwa maoni yake na swali langu kwako ni aina gani ya pc ntapata yenye.specs izo na.kwa.bei gan
 
Hapo kwanza huwezi pata laptop mpya kwa hio bei yenye hizo specs na pia used ni ngumi ila possible ukiwa mtu wa kufuatilia sana.

Ili laptop itoboe masaa 10+ inatakiwa iwe na processor zinazokula umeme kidogo, ram kama za simu ambazo zinatumia umeme mdogo, storage za ssd ama emmc ama ufs, Hdd inakula zaidi, na display hizi za kisasa zinazotumia chini ya watt.

Processor za bei rahisi zinazokula umeme kidogo ni hizi pentium na celeron silver hazitumii technology kama i3 na i5 zinakuwa ni dhaifu zaidi, laptop zenye pentium silver ama celeron zinatumia pia emmc badala ya ssd kusave cost. Mfano mzuri ni Acer Aspire one, nilinunua laki 4 kkoo inakaa na chaji masaa 17 offline na test ya laptopmag ni masaa 14 kwa wifi inamaana kwa modem unaweza pata masaa ya kutosha pia 7+.

Ila nunua hizi laptop kama ukaaji chaji kwako ni muhimu kuliko kitu chochote sahahu fifa 19, sijui photoshop, kuedit video na kazi nyengine yoyote nzito.

Processor ambazo zimebalance perfomance na pia zinakaa sana na chaji ni core m Series aka Y series inaweza kuwa i3 ama i5 ama i7 lakini inaishiwa na Y kwa mbele. Hizi zinakuwa kwenye ultrabook zote za kisasa sema bei nazo ni ndefu sana nyingi ni dola 700 kupanda.

Option nyengine ambayo itabidi uende njia used kutafuta laptop ya bei rahisi na extended batyery. Kanunua lenovo Thinkpad series then inunulie 9 ama 6 cell replacement battery pia utatoboa masaa 10.

Mfano thinkpad x240 zimejaa kibao kkoo bei around laki 4, ama x230 bei around laki 3 chenji inayobakia unaenda kununua battery lake extended kubwa, sema inakuwa na kitako kikubwa ukipachika battery ya namna hii kama picha ya kulia inavyoonesha
FHmR7Ea6YJ4CbpnXcNL2W5-650-80.jpg


X240/230 zinakaa na chaji masaa 20 kwa test ya laptopmag
au atafute thinkpad t series kuanzia t420 kwenda mbele zinakuwa na battery mbili ndani na nje yaani ikiisha battery ya unachomoa ya ndani inakuwa imebaki masaa 3 na unaweza pachika battery ya akiba km utanunua ya ziada bila mashine kuzima zenyewe ziko flat haina battery ya kitako wa kutokeza nyuma
kuna moja niliwahi uzaga humu CORE i74th ina SSD 256 yenyewe ilikuwa inakaa masaa 8 ukitumika kazi kubwa photoshop editing movie game inapiga masaa 2 mpk matatu
hizi thinkpad tseriez ni nzuri 7bu zinakuwa processor kubwa na battery inakaa chaji sana na imala
mfn ya sasa thinkpad t480 core i5 8th intel uhd 620 inapiga masaa 17

mfano mm natumia thinkpad t400 ni core 2 duo tu imetoka 2008 nilinunua kwa mtu tu km mwaka sasa unafika battery yake og ilotoka nayo kiwandani mpk now inakaa masaa 3 na ushee kwa matumizi ya kawaida nkichek movie ndo inakaa lisaa limoja na nusu
 
Mkuu
Kwa hzo brand ulizotaja, sidhan kama inayofikisha masaa 12 chaji.

Fikisha Angalau 550k nikupatie brand New T528 au it5625.

Masaa 12 inatoboa bila wasiwasi
 
Mkuu
Kwa hzo brand ulizotaja, sidhan kama inayofikisha masaa 12 chaji.

Fikisha Angalau 550k nikupatie brand New T528 au it5625.

Masaa 12 inatoboa bila wasiwasi
kwani izo sifa zingine inakizi
 
Huwezi pata laptop yenye sifa hizo halafu itunze charge for 12 hrs.
Habari wanajukwaa, ni kheri na wikiendi inaenda vyema kabisa.

Niende moja kwa moja kwenye dhumuni la uzi huu.

Natafuta laptop aina zifuatazo:
- HP
- ASUS
- LENOVO

Nitachukua mojawapo itayojitokeza yenye sifa tajwa hapa chini:
1. Intel core i3-5
2. Battery itunze chaji for almost masaa12
3. Iwe na fast charger
4. Isapoti 3.0 usb port au 4.0 ila hata 2.0 sio mbaya
5. HDD(GB500-1TB)
6. Ram yake iwe ni GB(4-6 au 8)
7. Keyboard yake iwe inawaka hapa namaanisha iwe na feature ya rangi rofauti kwenye kiibod yake kwa wale watumiaji wa kompyuta mtanielewa
7. Iwe na web camera
8.bOS-windows 10 but ikiwa na linux itafaa sana.

Budget yangu ni 400k - 500k (mwisho)

Nawasilisha.

Samahani kwa matumizi mabaya ya lugha ya malikia na Kiswahili chetu tukufu

"Maendeleo hayana vyama"
 
Hata kama matumizi madogo ukipata labda 8hrs kwa kutype tu tena itakuwa na ptocessor weak na very low voltage
Naona sikufafanua vizuri kwenye suala betri ila nlichomaanisha kwa matumizi yale ya kawaida ila kwa mimi mtumiaji iyo.haiwezekani je sifa izo nyingine inazo izo zako na umeitumia kwa mda gani
 
crusader_jr,

Pole Sana Mkuu, Kwa Ufundi Wangu Huu Nina Miaka 5 Sasa Kwenye Laptop Sijawahi Kuona Laptop Inakaa Charger Masaa 12 Ukiwa Unatumia.

Kwa Specification Ulizotaja Huwezi Kupata Laptop Kama Hiyo Kwa Price Yako

Goodluck
Mimi nilitaka kumuambia aingie kwenye Macbook ambazo zingine zinalast mpaka 9 hours. Ila hiyo hela yake sasa.
 
Huwezi pata laptop yenye sifa hizo halafu itunze charge for 12 hrs.
kwa sifa hizo zipo mkuu tena zaidi ya hayo masaa
sema kwa bajeti yake haiifikii hata robo ya bei ya specs anazozitaka kwa laptop husika
hvyo atashindwa bei kw kuwa ni ghali mno kutokana na ni za kizazi za sasa na zimetumia tech za kisasa lkn laptop zipo
 
kwa sifa hizo zipo mkuu tena zaidi ya hayo masaa
sema kwa bajeti yake haiifikii hata robo ya bei ya specs anazozitaka kwa laptop husika
hvyo atashindwa bei kw kuwa ni ghali mno kutokana na ni za kizazi za sasa na zimetumia tech za kisasa lkn laptop zipo
Kiasi shi ngapi
 
crusader_jr,

Pole Sana Mkuu, Kwa Ufundi Wangu Huu Nina Miaka 5 Sasa Kwenye Laptop Sijawahi Kuona Laptop Inakaa Charger Masaa 12 Ukiwa Unatumia.

Kwa Specification Ulizotaja Huwezi Kupata Laptop Kama Hiyo Kwa Price Yako

Goodluck

Hiyo laptop inapatikana ila si kwa hiyo bei ya 500k, hiyo hela zidisha mara 4 ndo utaipata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom