Natafuta laptop (tarakilishi mpakato)

Natafuta laptop (tarakilishi mpakato)

crusader_jr

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2019
Posts
994
Reaction score
866
Habari wanajukwaa, ni kheri na wikiendi inaenda vyema kabisa.

Niende moja kwa moja kwenye dhumuni la uzi huu.

Natafuta laptop aina zifuatazo:
- HP
- ASUS
- LENOVO

Nitachukua mojawapo itayojitokeza yenye sifa tajwa hapa chini:
1. Intel core i3-5
2. Battery itunze chaji for almost masaa12
3. Iwe na fast charger
4. Isapoti 3.0 usb port au 4.0 ila hata 2.0 sio mbaya
5. HDD(GB500-1TB)
6. Ram yake iwe ni GB(4-6 au 8)
7. Keyboard yake iwe inawaka hapa namaanisha iwe na feature ya rangi rofauti kwenye kiibod yake kwa wale watumiaji wa kompyuta mtanielewa
7. Iwe na web camera
8.bOS-windows 10 but ikiwa na linux itafaa sana.

Budget yangu ni 400k - 500k (mwisho)

Nawasilisha.

Samahani kwa matumizi mabaya ya lugha ya malikia na Kiswahili chetu tukufu

"Maendeleo hayana vyama"
 
crusader_jr,

Pole Sana Mkuu, Kwa Ufundi Wangu Huu Nina Miaka 5 Sasa Kwenye Laptop Sijawahi Kuona Laptop Inakaa Charger Masaa 12 Ukiwa Unatumia.

Kwa Specification Ulizotaja Huwezi Kupata Laptop Kama Hiyo Kwa Price Yako

Goodluck
 
Pole Sana Mkuu, Kwa Ufundi Wangu Huu Nina Miaka 5 Sasa Kwenye Laptop Sijawahi Kuona Laptop Inakaa Charger Masaa 12 Ukiwa Unatumia.

Kwa Specification Ulizotaja Huwezi Kupata Laptop Kama Hiyo Kwa Price Yako

Goodluck
Duuh mkuu ani kwenye betri sijamaanisha ikiwa kwenye matumizi makubwa maana mimi matumizi yangu ni makubwa sana inaweza.ikate chaji ndani na nusu saa ila mda ipo relaxed tu kwa burudani na je kwa specification apo juu inaweza kuwa bei gani
 
Mkuu betri masaa 12???


Anyway Mimi ninayo HP core i5
Naona sikufafanua vizuri kwenye suala betri ila nlichomaanisha kwa matumizi yale ya kawaida ila kwa mimi mtumiaji iyo.haiwezekani je sifa izo nyingine inazo izo zako na umeitumia kwa mda gani
 
mkuu nmeku pm ...kuna chombo moja matata hp ina miezi mitatu tu...imenunuliwa mcity na risiti zipo..
 
Charger Masaa 12 Ukiwa Unatumia.
Zipo, mfano ni hii Microsoft surface laptop.
- Bila internet wamaliza masaa 12
- Ukiwa connected kwenye internet sio chini ya masaa 7 hadi 8
1573992992554.png

1573993013172.png

- Ila sio kwa hiyo bei yake aliyoweka.
 
Habari wanajukwaa,ni kheri na wikiendi inaenda vyema kabisa.
Niende moja kwa moja kwenye dhumuni la uzi huu;
Natafuta laptop aina zifuatazo
-HP
-ASUS
-LENOVO;ntachukua moja wapo itayojitokeza yenye sifa tajwa hapa chini
1.intel core i3-5
2.Battery litunze chani for allmost masaa12
3.iwe na fast chager
4.isapoti 3.0 usb port au 4.0 ila hata 2.0 sio mbaya
5.hdd(GB500-1TB)
6.Ram yake iwe ni GB(4-6 au 8)
7.keyboard yake iwe inawaka hapa namaanisha iwe na feature ya rangi rofauti kwenye kiibod yake kwa wale watumiaji wa kompyuta mtanielewa
7.iwe na web camera
8.OS-windows 10 but ikiwa na linux itafaa sana
BUDGET yangu ni 400k-500k(mwisho)
Nawasilisha.
Samahani kwa matumizi mabaya ya lugha ya malikia na kiswahili chetu tukufu
"Maendeleo hayana vyama"
Kwa bei hiyo ukipata mashine ya sifa hizo sidhani kama itakatiza mwaka.
 
Pole Sana Mkuu, Kwa Ufundi Wangu Huu Nina Miaka 5 Sasa Kwenye Laptop Sijawahi Kuona Laptop Inakaa Charger Masaa 12 Ukiwa Unatumia.

Kwa Specification Ulizotaja Huwezi Kupata Laptop Kama Hiyo Kwa Price Yako

Goodluck
Hata notebook sijawahi ona yenye kukaa na chaji masaa 12..
 
Itakuwa anayeiuza keshaichoka kwa kuitumia au ina matatizo tayari kaipatch tu na anaitoa kwenye mfumo wake.
Ila huwezi jua, unaweza pata zali la mentali.
Samahani nikuombe ushauri kwa iyo budget naweza pata pc ya aina gani na sifa zake pia ila ijumuishwe na led keyboard
 
Samahani nikuombe ushauri kwa iyo budget naweza pata pc ya aina gani na sifa zake pia ila ijumuishwe na led keyboard
Mashine utapata kama uko dar unaweza enda fanya tafiti machinga complex ila kama utaipata basi ni used.
Unataka kufanyia shughuli gani?
 
Sijakutana na HP inayokaa na chaji zaidi ya 4 hours. Ila nimekutana na Dell Inspiron na Latitude zinazokaa na chaji mpaka saa 8. Ngoja wataalam waje wakupe ujuzi zaidi. Ila ongeza dau
Naona sikufafanua vizuri kwenye suala betri ila nlichomaanisha kwa matumizi yale ya kawaida ila kwa mimi mtumiaji iyo.haiwezekani je sifa izo nyingine inazo izo zako na umeitumia kwa mda gani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom