pamjela
JF-Expert Member
- Jun 18, 2016
- 393
- 723
zinaanzia milioni 2 mkuu kuendelea kulingana na specs za ndani zilivyoKiasi shi ngapi
zinaanzia milioni 2 mkuu kuendelea kulingana na specs za ndani zilivyoKiasi shi ngapi
kwa sifa hizo zipo mkuu tena zaidi ya hayo masaa
sema kwa bajeti yake haiifikii hata robo ya bei ya specs anazozitaka kwa laptop husika
hvyo atashindwa bei kw kuwa ni ghali mno kutokana na ni za kizazi za sasa na zimetumia tech za kisasa lkn laptop zipo