Kim Jong Un
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 496
- 258
jaman kama yupo asema kigezo ni kimoja tu usalama wa taifa....
Kwa ninavyosikia usalama wa taifa wote wanaume jipange tena au tafiti zaid ujue ukweli.
jaman kama yupo asema kigezo ni kimoja tu usalama wa taifa....
jaman kama yupo asema kigezo ni kimoja tu usalama wa taifa....
Kuna dada mmoja anaishi pale Sinza Mori na mwingine kijitonyama wote wanatafuta wanaume na wako huko huko unakokutaka......uko serious niwakontakti?
hao ni usalama wa raia!Mbona mapolisi wapo wengi tu, mana nao ni usalama wa taifa