Angalia mwaka Jana wanaosoma textile Sijui..wanashona Sijui..nimeisahau kozi...usibishe Mkuu..tunao mtaani hapa wengu tu.usikariri.
In kweli coz za coet na udbs no ngumu hata kwa dawa..so tunaposema udsm usikariri kozi moja tu
Jaman mie naanza mapema kabisa kutafuta wakunibeba kwa wale mnaokuja udsm naomba yeyote ani PM---NITALIPIA SEMISTER MOJA AFU NYINGINE UTALIPIA WEWE,kwa wasiojua maana ya kubebwa ukija udsm utajua 2'''KARIBUNI SANA
tatizo mnakaririshwa mambo bila kujua halafu unakuja kuropoka hapa,hili Jina lilitokana na prof.Tolly Mbwete,anatajwa kuasisi ujenzi wake ingawa wazo ni la prof.Mmary.unakuja kubwabwaja hapa eti vimbweta!!!ndoroooobo we we.