Natafuta "Konki" wa Idara hii

Natafuta "Konki" wa Idara hii

Fika bunju mtaa wa Basihaya mtafute mtu anaitwa Abubakar Katwila almaarufu Q CHILLA nadhani anaweza kukusaidia maana washirikina wengi wamemsifia mizimu ya nchi kuwa imetia nanga kwake kwasasa

Akishindwa panda gari elekea mkoa wa rukwa ukifika Namanyere ulizia gari au pikipiki za kufika kata moja inaitwa KiRANDO ukifika hapo mtafute diwani wa zamani wa kata hiyo bwana KESSY mueleze shida yako nina hakika atakupeleka kwa mganga mzuri mno yupo kisiwa fulani kipo karibu na kata hiyo utasaidiwa

Ukifeli huko basi panda gari mpaka Songea mkoani ruvuma ukifika huko ulizia kambi ya jeshi inaitwa CHABRUMA hakuna sheria kuingia ,ukishaingia omba yeyote hasa raia wanaokatiza humo kuwa unahitaji kifika kwa mganga Sameje huko Mpitimbi watakatisha humo humo mpaka mpitimbi utasaidiwa.

Ukifeli huko basi panda gari mpaka mkoa wa Kagera ukifika bukoba mjini ulizia kwa bodaboda kuwa unahitaji kwenda kwa mganga wa kienyeji anitwa BISHANGA yupo nje ya mji sehemu inaitwa KAGONDO KAIFO utatibiwa na utakuwa sawa .

Najua unaweza usiwe na bahati kote huko basi njoo mbeya ukifika mbeya mjini ,nenda mpaka mji md9go wa mbalizi ulizia stendi za umalila ukifika stendi hiyo panda gari zinazoenda Isuto ukifika isuto muulize bodaboda yeyote kuwa unaenda kwa mganga anaitwa NAMBALI ,ukifika kwa huyo mama mwambie umeagizwa na nyoka ,basi hata maji ya kuoga utapewa ukitibiwa rudi hapa kunishukuru .

Basi umefeli kabisa nauli huna ,baki hapo Dar ila nenda wilaya ya temeke ,uliza kata ya keko ukifika keko ulizia keko machungwa ilipo nenda mpaka lilipo gereza la keko muulize hata mpita njia kuwa unapatafuta kwa mama kyembe ,ukimpata huyo mama mwambie nyoka amesema nikuulizie alipo mganga basi utasaidiwa kwa kupelekwa kwa mganga .

Ukibahatisha hela na bado ukawa haujapona basi rudi Mwanza mpaka mwanza mjini panda gari za kwenda kisesa ,ukifika kisesa ulizia ulipokuwa mji wa mzee Limbe ,wakikuonesha hapo ni ruksa kumuuliza mtu yeyote kwa mganga konki watakutajia wengi wa pale ila mmoja atatajwa kwa jina gumu la kisukuma ni huyo huyo nenda haraka.


Ukifeli basi panda meli sijui siku ya jumanne uende tena bukoba mjini ukifika panda gari za kwenda mpakani huko MUTUKULA ukifika mutukula tafuta kwa wauza mchele maarufu au myafute bwana mmoja anitwa FAUDHI ,mwambie nyoka amesema unifikishe kwa mtaalamu utafikishwq ni mtaa wa pili utatibiwa ukipona nenda hata Uganda kidogo ukawaone akina Atwoki .

Ukifeli na huko utarudi mbeya mpaka Tunduma mkoa wa songwe uende mpaka mpemba ,umdake mpiga debe yeoyote nwambie mambo hayaendi akupe mtaalamu hayupo mtaalamu utayepewa zqidi ya mmoja ,herufi yake itaanzq na F .

Nadhani kwa kuzunguka hivyo utakuwa umepata tiba yako ila ikifeli basi nitakupeleka ARUSHA ,CHUNYA ,IRINGA ,NJOMBE ,KAHAMA NA SIMIYU mimi mwenyewe ukifeli hapo nitakuomba ukubali jambo lako ni la Mungu mwenyewe .

Ahsante na pole kwa kuugua .
Aisee watu mnatembea.
 
Fika bunju mtaa wa Basihaya mtafute mtu anaitwa Abubakar Katwila almaarufu Q CHILLA nadhani anaweza kukusaidia maana washirikina wengi wamemsifia mizimu ya nchi kuwa imetia nanga kwake kwasasa

Akishindwa panda gari elekea mkoa wa rukwa ukifika Namanyere ulizia gari au pikipiki za kufika kata moja inaitwa KiRANDO ukifika hapo mtafute diwani wa zamani wa kata hiyo bwana KESSY mueleze shida yako nina hakika atakupeleka kwa mganga mzuri mno yupo kisiwa fulani kipo karibu na kata hiyo utasaidiwa

Ukifeli huko basi panda gari mpaka Songea mkoani ruvuma ukifika huko ulizia kambi ya jeshi inaitwa CHABRUMA hakuna sheria kuingia ,ukishaingia omba yeyote hasa raia wanaokatiza humo kuwa unahitaji kifika kwa mganga Sameje huko Mpitimbi watakatisha humo humo mpaka mpitimbi utasaidiwa.

Ukifeli huko basi panda gari mpaka mkoa wa Kagera ukifika bukoba mjini ulizia kwa bodaboda kuwa unahitaji kwenda kwa mganga wa kienyeji anitwa BISHANGA yupo nje ya mji sehemu inaitwa KAGONDO KAIFO utatibiwa na utakuwa sawa .

Najua unaweza usiwe na bahati kote huko basi njoo mbeya ukifika mbeya mjini ,nenda mpaka mji md9go wa mbalizi ulizia stendi za umalila ukifika stendi hiyo panda gari zinazoenda Isuto ukifika isuto muulize bodaboda yeyote kuwa unaenda kwa mganga anaitwa NAMBALI ,ukifika kwa huyo mama mwambie umeagizwa na nyoka ,basi hata maji ya kuoga utapewa ukitibiwa rudi hapa kunishukuru .

Basi umefeli kabisa nauli huna ,baki hapo Dar ila nenda wilaya ya temeke ,uliza kata ya keko ukifika keko ulizia keko machungwa ilipo nenda mpaka lilipo gereza la keko muulize hata mpita njia kuwa unapatafuta kwa mama kyembe ,ukimpata huyo mama mwambie nyoka amesema nikuulizie alipo mganga basi utasaidiwa kwa kupelekwa kwa mganga .

Ukibahatisha hela na bado ukawa haujapona basi rudi Mwanza mpaka mwanza mjini panda gari za kwenda kisesa ,ukifika kisesa ulizia ulipokuwa mji wa mzee Limbe ,wakikuonesha hapo ni ruksa kumuuliza mtu yeyote kwa mganga konki watakutajia wengi wa pale ila mmoja atatajwa kwa jina gumu la kisukuma ni huyo huyo nenda haraka.


Ukifeli basi panda meli sijui siku ya jumanne uende tena bukoba mjini ukifika panda gari za kwenda mpakani huko MUTUKULA ukifika mutukula tafuta kwa wauza mchele maarufu au myafute bwana mmoja anitwa FAUDHI ,mwambie nyoka amesema unifikishe kwa mtaalamu utafikishwq ni mtaa wa pili utatibiwa ukipona nenda hata Uganda kidogo ukawaone akina Atwoki .

Ukifeli na huko utarudi mbeya mpaka Tunduma mkoa wa songwe uende mpaka mpemba ,umdake mpiga debe yeoyote nwambie mambo hayaendi akupe mtaalamu hayupo mtaalamu utayepewa zqidi ya mmoja ,herufi yake itaanzq na F .

Nadhani kwa kuzunguka hivyo utakuwa umepata tiba yako ila ikifeli basi nitakupeleka ARUSHA ,CHUNYA ,IRINGA ,NJOMBE ,KAHAMA NA SIMIYU mimi mwenyewe ukifeli hapo nitakuomba ukubali jambo lako ni la Mungu mwenyewe .

Ahsante na pole kwa kuugua .
Katika Hawa wote ni yupi anaweza kunipa dawa ya kutoonekana.
 
KICHWA CHA HABARI:

Natafuta Mtaalamu Mbobezi (The Grandmaster) – Upeo wa Macho, Kusafisha Nyota & Ulinzi wa Chuma | Morogoro & Jirani
Wadau wa jukwaa hili, salamu.


Nimeamua kuandika hapa baada ya kuona ulimwengu unabadilika na maadui wanazidi kuongezeka kila kukicha. Sitafuti mganga wa kupiga ramli za kubahatisha, natafuta Mbobezi aliyepikwa akapikika, anayejua siri za rohoni na mamlaka ya asili.


Mahitaji Yangu ya Msingi:
Upeo wa 360° (The All-Seeing Eye): Nahitaji uwezo wa kipekee nikitembea mtaani au nikiwa kwenye harakati zangu, nione mitego iliyozikwa (idara ya uchunguzi), nione sura halisi za watu wanaonitabasamu huku mioyoni mwao wana visu, na nione kila aina ya kiumbe au 'mzigo' unaotumwa kunifuata kabla haujafika.


Kinga ya "Reverse Gear" (Active Defense): Mwili wangu, familia yangu, na makazi yangu yawe marufuku kwa uchawi na husuda. Nataka kinga ambayo adui akijaribu kurusha mshale wa giza, unamgeukia yeye na ukoo wake hapo hapo bila kupoa. Iwe ni kinga ya 'chuma' isiyovulika.


Kusafisha Nyota & Mvuto wa Mamlaka: Nataka kung'arishwa nyota yangu iwe na mvuto wa ajabu kibiashara na kijamii. Nataka nikisimama mbele ya watu nionekane na nithaminiwe, na nikiingia katikati ya kilinge cha adui, wabaki gizani wasione kitu.


Vigezo Vyangu vya Chuma:
Eneo: Lazima uwe ndani ya mkoa wa Morogoro (Mgeta, Matombo, Kilosa, Ifakara,... ) au mikoa inayopakana.


Physical Meeting: Siwezi kufanya kazi na sauti ya kwenye simu wala 'vilinge vya WhatsApp'. Lazima nifike kilingeni kwako, nione mazingira na nishuhudie 'vitu' vikitokea live mbele ya macho yangu.


Malipo na Uhakika: Niko tayari kutoa Gharama Yoyote inayostahili heshima ya kazi yako. Hata hivyo, malipo ya ufundi (fadhila kuu) ni BAADA YA MATOKEO. Gharama za vifaa, kafara, na manunuzi ya awali tutamalizana nikiwa kilingeni kwako nikishajiridhisha na weledi wako.

Kama unajijua wewe ni Konki, unao uwezo wa kufungua ulimwengu wa pili, na huna hofu na kazi yako, njoo PM (Private Message) tujadiliane namna ya kuonana.

Wapiga porojo, waganga wa mitandaoni, na matapeli wa vocha, kaeni mbali na uzi huu. Natafuta Fundi, siyo msimulia hadithi.
Jamaa mm nakwambia kweli kabisa, nenda kama upo Moro panda mabasi yanayo toka dar--geita Shuka katoro, Kisha ulizia gari za butundwe kwa babu, boda au vile vigari wishi wana pajua vizuri, lakini yeye hataki hela.

Kwanza huna hela ya kumpatia kama Marais wana tibiwa wewe uta mpatia nini, lakini ukifika usipo mkuta ni lazima kulima wakati una msubilia aje, kuna watu kibao zaidi ya 200 kila wana subilia huduma.

Mm nili kuwepo jana nime ondoka leo ni uhakika ni kuzingatia mashatiti nayo ni 4 hivi au 5, sasa hivi nipo kwa gari naelekea dar, mtu asije DM kwangu nime toa maelekezo ya kutosha kabisa.

Nb. Kama utahitaji maelekezo ulizia hapa hapa ili wengi wanufaike.
 
Hakuna mganga aliyebobea kwenye kila kitu, ndio maana kuna msemo kwamba mtu haponi kwa mganga mmoja tu.
 
KICHWA CHA HABARI:

Natafuta Mtaalamu Mbobezi (The Grandmaster) – Upeo wa Macho, Kusafisha Nyota & Ulinzi wa Chuma | Morogoro & Jirani
Wadau wa jukwaa hili, salamu.


Nimeamua kuandika hapa baada ya kuona ulimwengu unabadilika na maadui wanazidi kuongezeka kila kukicha. Sitafuti mganga wa kupiga ramli za kubahatisha, natafuta Mbobezi aliyepikwa akapikika, anayejua siri za rohoni na mamlaka ya asili.


Mahitaji Yangu ya Msingi:
Upeo wa 360° (The All-Seeing Eye): Nahitaji uwezo wa kipekee nikitembea mtaani au nikiwa kwenye harakati zangu, nione mitego iliyozikwa (idara ya uchunguzi), nione sura halisi za watu wanaonitabasamu huku mioyoni mwao wana visu, na nione kila aina ya kiumbe au 'mzigo' unaotumwa kunifuata kabla haujafika.


Kinga ya "Reverse Gear" (Active Defense): Mwili wangu, familia yangu, na makazi yangu yawe marufuku kwa uchawi na husuda. Nataka kinga ambayo adui akijaribu kurusha mshale wa giza, unamgeukia yeye na ukoo wake hapo hapo bila kupoa. Iwe ni kinga ya 'chuma' isiyovulika.


Kusafisha Nyota & Mvuto wa Mamlaka: Nataka kung'arishwa nyota yangu iwe na mvuto wa ajabu kibiashara na kijamii. Nataka nikisimama mbele ya watu nionekane na nithaminiwe, na nikiingia katikati ya kilinge cha adui, wabaki gizani wasione kitu.


Vigezo Vyangu vya Chuma:
Eneo: Lazima uwe ndani ya mkoa wa Morogoro (Mgeta, Matombo, Kilosa, Ifakara,... ) au mikoa inayopakana.


Physical Meeting: Siwezi kufanya kazi na sauti ya kwenye simu wala 'vilinge vya WhatsApp'. Lazima nifike kilingeni kwako, nione mazingira na nishuhudie 'vitu' vikitokea live mbele ya macho yangu.


Malipo na Uhakika: Niko tayari kutoa Gharama Yoyote inayostahili heshima ya kazi yako. Hata hivyo, malipo ya ufundi (fadhila kuu) ni BAADA YA MATOKEO. Gharama za vifaa, kafara, na manunuzi ya awali tutamalizana nikiwa kilingeni kwako nikishajiridhisha na weledi wako.

Kama unajijua wewe ni Konki, unao uwezo wa kufungua ulimwengu wa pili, na huna hofu na kazi yako, njoo PM (Private Message) tujadiliane namna ya kuonana.

Wapiga porojo, waganga wa mitandaoni, na matapeli wa vocha, kaeni mbali na uzi huu. Natafuta Fundi, siyo msimulia hadithi.
Mkuu hii kazi mimi ndio kiboko sasa 😂 😂 😂 😂 😂
 
Jamaa mm nakwambia kweli kabisa, nenda kama upo Moro panda mabasi yanayo toka dar--geita Shuka katoro, Kisha ulizia gari za butundwe kwa babu, boda au vile vigari wishi wana pajua vizuri, lakini yeye hataki hela.

Kwanza huna hela ya kumpatia kama Marais wana tibiwa wewe uta mpatia nini, lakini ukifika usipo mkuta ni lazima kulima wakati una msubilia aje, kuna watu kibao zaidi ya 200 kila wana subilia huduma.

Mm nili kuwepo jana nime ondoka leo ni uhakika ni kuzingatia mashatiti nayo ni 4 hivi au 5, sasa hivi nipo kwa gari naelekea dar, mtu asije DM kwangu nime toa maelekezo ya kutosha kabisa.

Nb. Kama utahitaji maelekezo ulizia hapa hapa ili wengi wanufaike.
Mganga ni kabila gani?
 
Back
Top Bottom