Wapi huko mkuu na bei Chee ndio sh ngapi? Si mbaya tukijua kabla ya kupiga simu
Ni vigumu kupata eneo kubwa kiasi huko kiluvya labda kwa kuungaunga lkn utakygharimu sana. Sogea nje kidogo kibaha,mlandizi,ruvu au kisarawe na mkuranga.
Bei ya mashamba maeneo haya ni kuanzia Tsh. 350,000 kwa ekari na kuendelea na bei inaweza kupungua ukiweza kuongea vzt
Una uhakika au unahisi mkuu?chanika huwa vipo vya serikali inauza mil moja 30 25
Mkuu ekari moja ya 70 kwa 70 maeneo ya Mwandege,vikindu,Mkuranga na Kiparang'anda unauza kwa sh ngapi?
Ruvu kuna ekari zaidi ya 1000, bei ni Tshs. 350,000/acre
Kama unataka nione tu mkuu
kuna kiwanja Kongowe ya Dar, lilikuwa shamba vikauzwa vipande vya kujenga, kama unainterest tuwasiliane tu, bei maelewano. piga 0753820584