Natafuta kiwanja maeneo haya Dar es Salaam

Natafuta kiwanja maeneo haya Dar es Salaam

NitAfute kwa 0784674578 kipo mbezi . meta za mraba 1300(sq.mtrs).eneo Safi kwa kilimo au ujenzi
 
Natafuta kiwanja maeneo ya tegeta, Goba, bunju, tabata au kimara
Mimi ninavyo winja vya uhakika madale kwa kawawa...plot1 viwanja zaidi ya 20 ukubwa wa 20X20M kwa 6M(hapa vinebaki vi3 tu)

Na plot ya pili 20X20M bei ni 7.5M hapa vipo 12..

maeneo haya yamerasmishwa kwa makazi tayari..ukija utakuta wenzio wameisha pandisha majengo tayari..

Nicheck hapa 0762 466 293
 
Nina kiwanja bunju cha skwata kina ukubwa wa sqm 700 bei milion 13. nina kiwanja bunju beach kilicho pimwa kina sqm 1250 kina hati ya serikal bei milion 95. nina kiwanja mbweni jkt sqm 750 karibu na beach kina hati ya serikal bei milion 70. nina kiwanja mbweni teta karibu na chuo cha NBA chuo cha uhasibu kiwancha kina sqm 1700 kina hati ya serikali bei tsh 120 mpaka 110 milion. .......ninavyo vingi sana vya ukubwa tofauti na bei tofauti kulingana na maeneo tunavyo vilivyo pimwa na visivyo pimwa for more details check me 0712464777. pia tunazo nyumba za kuuza nzuri maeneo tofaut. Karibuni sana.
Mkuu hii mihela unaitaja kwa serikali hii hii au ?? Lil 120 kiwanja bunju !!! Baada ya muda hicho hicho utakiuza mil 30
 
Ninacho Goba mkuu sq metre 840 ni PM nikupe bei kipo goba mtaa unaitwa tegeta A
Location umeitaja Goba,
Ukubwa umetaja 840 sqm,
Mtaa umetaja Tegeta A,
Ila bei tu ndio mpaka mtu aje PM, kuna siri gani hapo??
 
Wadau kiwanja cha IPTL juu eneo maarufu kama kanisa la mabati bado kipo ukubwa 35/25 bei 18m tuwasiliane 0753222089
 
Kama hupo serious njoo uvione(Naamini hata hiyo sita utaiona ndogo)

Wenzanko walikuja hivyo hivyo kwa nia ya kupunguziwa....Lakini walilazimika kuchukua mpaka viwanja 6 kwa pamoja kwa namna walivyoona eneo kuwa "more potential ( Uzuri ni kwamba wapo humu humu JF) Hivyo wanajua ninachoongea..na wakipitia uzi huu utaona watakachosema!
 
nikichkua vi2 vipi mkuu unanipa kwa 10 hivyo vya Sita sita ..??
Kama hupo serious njoo uvione(Naamini hata hiyo sita utaiona ndogo)

Wenzanko walikuja hivyo hivyo kwa nia ya kupunguziwa....Lakini walilazimika kuchukua mpaka viwanja 6 kwa pamoja kwa namna walivyoona eneo kuwa "more potential ( Uzuri ni kwamba wapo humu humu JF) Hivyo wanajua ninachoongea..na wakipitia uzi huu utaona watakachosema!
 
nikichkua vi2 vipi mkuu unanipa kwa 10 hivyo vya Sita sita ..??
Kumbuka pia vya milion6 vimebaki vichache sana..Vya milion7.5 ndo bado vingi kidogo (kama 12 hivi)

Unajua hivi viwanja vimekatwa kwa mtindo wa plots ni kama blocks kuna barabara za kuingia mpaka kwa kila mtu mwenye kiwanja chake..Hivyo ni katka muundo unaofanya accessibility iwe nzuri na ndio maana vinauzika sana.
 
nina kiwanja kipo kinyerezi japo hujataja hili eneo lakini ni kizuri sana sqm 1200, kiko barabarani kinauzwa milioni 100,000,000/=
 
Mkuu n imekujibu kama unaongea na mimi(
Nijibu bc mkuu
Kuhusu hivyo vya 6M viwili kwa pamoja naweza kukupa kwa 11.5M CASH.. Naweza punguza lak5tu..ikibidi kufanya hivyo(Lakini bei halali ni milion6 kwa kiwanjaX2 = 12M kwa viwanja 2.

Japo ninavyo viwanja pia Mingoi Darajani Upande wa pili ukivuka tu toka Dar upande wa kushoto(Ukiwa site unatazamana moja kwamoja na Bunju B,japo bonde la mto ndo linawatenganisha) Hivi nitakupatia 20X45 kwa milion8 Kamili bila punguzo.(Yaani ni viwanja2 vilivyoungana(kimoja 20X20 +20X25)

Hapa Mingoi vimebaki winja 4 tu..

Labda nikwambie kuwa haya maeneo tuliyachukua kama mashamba mimi na kaka yangu miaka ya nyumba (Sasa maeneo haya yamerasmishwa kwa makazi na yanaendelezwa, watu wanajenga kwa kasi..Hivyo tukayagawa kwenye plots na kuanza kuyauza

Tulianza kuyauza mwaka Jana mwezi wa 6..(Ukitafuta utakuta thread zangu umu JF).

Kama hupo seriuos hebu nicheck kwa namba hii +255 762 466 293(Tujadiliane, maana hatuwezi fika muafaka nyuma ya keyboard, unahitaji kuongea na mimi,pia na kuyaona haya maeneo)

Barikiwa sana..!
 
Pia Nimeandaa Plot Layout inayoonyesha viwanja vya Mingoi(Kimele).. Kama utataka niadd kwa whatsapp yako nikutumie)..Mchoro wa Madale nipo nauandaa..!
Mkuu n imekujibu kama unaongea na mimi(

Kuhusu hivyo vya 6M viwili kwa pamoja naweza kukupa kwa 11.5M CASH.. Naweza punguza lak5tu..ikibidi kufanya hivyo(Lakini bei halali ni milion6 kwa kiwanjaX2 = 12M kwa viwanja 2.

Japo ninavyo viwanja pia Mingoi Darajani Upande wa pili ukivuka tu toka Dar upande wa kushoto(Ukiwa site unatazamana moja kwamoja na Bunju B,japo bonde la mto ndo linawatenganisha) Hivi nitakupatia 20X45 kwa milion8 Kamili bila punguzo.(Yaani ni viwanja2 vilivyoungana(kimoja 20X20 +20X25)

Hapa Mingoi vimebaki winja 4 tu..

Labda nikwambie kuwa haya maeneo tuliyachukua kama mashamba mimi na kaka yangu miaka ya nyumba (Sasa maeneo haya yamerasmishwa kwa makazi na yanaendelezwa, watu wanajenga kwa kasi..Hivyo tukayagawa kwenye plots na kuanza kuyauza

Tulianza kuyauza mwaka Jana mwezi wa 6..(Ukitafuta utakuta thread zangu umu JF).

Kama hupo seriuos hebu nicheck kwa namba hii +255 762 466 293(Tujadiliane, maana hatuwezi fika muafaka nyuma ya keyboard, unahitaji kuongea na mimi,pia na kuyaona haya maeneo)

Barikiwa sana..!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom