dalalitz
JF-Expert Member
- Sep 6, 2013
- 3,476
- 2,086
Mimi ninavyo:
1 . Mbezi (Bonyokwa) Eneo maarufu kama Magarisaba.
Ni Jirani Sana na Chuo cha St. joseph (Dar campus)
UKUBWA:
Kiwanja Kipo na ukubwa wa wastani wa Mita za mraba 1300(sqm)
Bei Tshs. 65M(Milioni Sitini na tano)
Mazungumzo yapo.
Kiwanja sio 'Surveyed',
Eneo limejengeka na Umeme upo Jirani Sana.
Eneo linauhitaji mkubwa wa Hostel kwaajili ya Wanafunzi.
Pia,
Kipo Kiwanja kingine Kigamboni 'Golani'
Ukubwa ni Mita za mraba 1500.
Kimepimwa.
Bei ni Tshs. 30M (Milioni Thelathini)
Eneo Ndio linaanza kujengeka.
Maelezo zaidi, Njoo chemba.
1 . Mbezi (Bonyokwa) Eneo maarufu kama Magarisaba.
Ni Jirani Sana na Chuo cha St. joseph (Dar campus)
UKUBWA:
Kiwanja Kipo na ukubwa wa wastani wa Mita za mraba 1300(sqm)
Bei Tshs. 65M(Milioni Sitini na tano)
Mazungumzo yapo.
Kiwanja sio 'Surveyed',
Eneo limejengeka na Umeme upo Jirani Sana.
Eneo linauhitaji mkubwa wa Hostel kwaajili ya Wanafunzi.
Pia,
Kipo Kiwanja kingine Kigamboni 'Golani'
Ukubwa ni Mita za mraba 1500.
Kimepimwa.
Bei ni Tshs. 30M (Milioni Thelathini)
Eneo Ndio linaanza kujengeka.
Maelezo zaidi, Njoo chemba.