Natafuta kiwanja cha milioni 4 Dar, nitapata wapi?

Natafuta kiwanja cha milioni 4 Dar, nitapata wapi?

Ni ngapi kwa ngapi
20 kwa 20 mazingira ni tambalale usafir kutoka barabara kuu ni 500 kwa bajaj na 1000 boda
20210909_215843.jpg


Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
 
Kuna mtu anauza ekari moja (64m x 64m) kwa milioni nne.Eneo lipo Kiluvya Makurunge (15 km toka Morogoro Rd).Ana eneo kubwa hivyo anauza kuanzia ekari moja. Eneo ni pori hivyo linamfaa mtu anaye plan kuanzia miaka 3 na kuendelea.Kama unahitaji ni PM
 
Kuna mtu anauza ekari moja (64m x 64m) kwa milioni nne.Eneo lipo Kiluvya Makurunge (15 km toka Morogoro Rd).Ana eneo kubwa hivyo anauza kuanzia ekari moja. Eneo ni pori hivyo linamfaa mtu anaye plan kuanzia miaka 3 na kuendelea.Kama unahitaji ni PM
Mkuu Kiluvya ipi hyo, ni mbele ya kwa Sumaye??
 
Standard size ya kiwanja ni mita (20 by 20) sawa na sqm 400. Mil 4 dar huwezi kupata labda kama unataka kupigwa. Ila unaweza kupata mikoa jirani na dar at least 8km ndani. Njoo pm nikupe kiwanja 'kiluvya ya kisarawe'. Ni 10 min. huko da
Sio kweli. Vipo kibao hata chini ya 4M
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom