AbbasTwalb
Member
- Oct 15, 2020
- 13
- 32
Habari za muda huu wadau, natumai wote ni wazima.
Mimi naitwa Abbas Twalb ni mwanafunzi wa chuo uandishi wa habari na utangazaji hapa Dar es Salaam katika ngazi ya Certificate ambapo mwenzi wa Tano natarajia Kufanya mtihani na nikimaliza hapo Itanibidi nikafanye Field katika kituo cha redio Ama Tv ili nikirudi chuo niingie Diploma.
Nilikuwa nawaomba kama kuna mtu Humu anaweza kuniambia kituo cha redio kirahisi ambacho naweza kufanyia Field anisaidie mapema ili nisisumbuke sana mdogo wenu.
Kikubwa nitashukuru sana kama mtaniwezesha juu ya hilo asanteni.
Mimi naitwa Abbas Twalb ni mwanafunzi wa chuo uandishi wa habari na utangazaji hapa Dar es Salaam katika ngazi ya Certificate ambapo mwenzi wa Tano natarajia Kufanya mtihani na nikimaliza hapo Itanibidi nikafanye Field katika kituo cha redio Ama Tv ili nikirudi chuo niingie Diploma.
Nilikuwa nawaomba kama kuna mtu Humu anaweza kuniambia kituo cha redio kirahisi ambacho naweza kufanyia Field anisaidie mapema ili nisisumbuke sana mdogo wenu.
Kikubwa nitashukuru sana kama mtaniwezesha juu ya hilo asanteni.