Natafuta kituo cha kurisiti chenye gharama nafuu

Natafuta kituo cha kurisiti chenye gharama nafuu

Chuo napata kozi gan hapo ya afya bila physics ndo mwish wa siku naangukia vikozi visivyo eleweka! Bora nitafute hata D ya Physics nikiweka na hizo credit za Bio na Chem kama siend advanc bas nikapoge hata clinical medicine
Hakuna kozi isiyoeleweka, ila kuna wasomi wasioeleweka
 
Chuo napata kozi gan hapo ya afya bila physics ndo mwish wa siku naangukia vikozi visivyo eleweka! Bora nitafute hata D ya Physics nikiweka na hizo credit za Bio na Chem kama siend advanc bas nikapoge hata clinical medicine
Kuna Nursing, Environment Health, medical laboratory.

Jaribu hizo course.

PCB hutoboi kwa kuresit
 
Happy new year wana JF! Hope mko poa.
Ninatafuta kituo cha kurisiti mtihani wa kidato cha nne chenye gharama nafuu nimejaribu kufatilia kwenye hivi vituo vyenye majina makubwa hapa Dar kama BRITISH, MBEZI HIGH N.K nimeona gharama zao kama zipo juu ya uwezo wangu. Likin naamin kuna vituo havijulikani lakini vinatoa huduma nzuri. WENYE UZOEFU KWENYE MAMBO HAYA NA WILIO WAHI KUPITIA HUKO NAOMBENI MISADIE.

NIPO DAR
Nenda Yombo secondary, mwaka huu wameanza program za kufundisha resitters

Iko karibu Buza kanisani
 
Km ni afya hawezi kupata chuo mpaka awe amefaulu kwny physics na math.mi nakushauri kareset physics,math na geography kwa masomo ambayo una wastani wa C achana nayo ila geography usiniache iko kote ni science subject lkn pia ni arts itakusaidia
 
Nilidhani labda umefeli kama mimi lakini nilipoona matokeo yako hayo uliyoyaweka hapo

Ngoja nikushauri...
Kurisiti ni kupoteza muda ukizingatia saivi ujanja wa elimu siyo kujaza ndani makaratasi (vyeti) bali kujaza hela ndani (ajira).

Kwa ufaulu wako huo tafuta chuo chochote piga upate mizizi ya hela kwanza (ajira) halafu ndo utaamua kurisiti huko mbeleni japo mara nyingi hela ikikolea mtu hawazii tena uanafunzi

Halafu kuna jambo lingine (sina uhakika wala uelewa zaidi) kwamba shule za private zinachukua watu hata combination isipobalansi basi kama wewe ni mpenda kusoma ni heri uende huko ili usogee fasta lakini siyo kurisiti

Mimi ninayekushauri hapa ni fom foo feliya tena arts, kuna kipindi nilipanga kurisiti lakini nikawaza wee nikaja kuwazua kwamba ni ujinga na kupoteza muda tu nikaona ni bora nikasome (wenyewe wanaita kuchukua) diploma kisha degree tu basi

Tanbihi;
Nina Cheti cha Ualimu Shule za Msingi Tanzania
 
Km ni afya hawezi kupata chuo mpaka awe amefaulu kwny physics na math.mi nakushauri kareset physics,math na geography kwa masomo ambayo una wastani wa C achana nayo ila geography usiniache iko kote ni science subject lkn pia ni arts itakusaidia
Nashukuru Bwana Ngishi
 
Nilidhani labda umefeli kama mimi lakini nilipoona matokeo yako hayo uliyoyaweka hapo

Ngoja nikushauri...
Kurisiti ni kupoteza muda ukizingatia saivi ujanja wa elimu siyo kujaza ndani makaratasi (vyeti) bali kujaza hela ndani (ajira).

Kwa ufaulu wako huo tafuta chuo chochote piga upate mizizi ya hela kwanza (ajira) halafu ndo utaamua kurisiti huko mbeleni japo mara nyingi hela ikikolea mtu hawazii tena uanafunzi

Halafu kuna jambo lingine (sina uhakika wala uelewa zaidi) kwamba shule za private zinachukua watu hata combination isipobalansi basi kama wewe ni mpenda kusoma ni heri uende huko ili usogee fasta lakini siyo kurisiti

Mimi ninayekushauri hapa ni fom foo feliya tena arts, kuna kipindi nilipanga kurisiti lakini nikawaza wee nikaja kuwazua kwamba ni ujinga na kupoteza muda tu nikaona ni bora nikasome (wenyewe wanaita kuchukua) diploma kisha degree tu basi
[emoji1]Asante Boss! Kama ulivyo malizia hapo chin kweli mi napenda kusoma na ndio naamin hivy pamoja na mishe zote elimu pia itakuja kunisave one day! Asante kaka
 
Hapo imekaa vizuri nitachukua na Geography Kwa option ya CBG. Pamoja[emoji1666

[emoji1]Asante Boss! Kama ulivyo malizia hapo chin kweli mi napenda kusoma na ndio naamin hivy pamoja na mishe zote elimu pia itakuja kunisave one day! Asante kaka
Nenda pia pale Mgulani JKT center ipo ndani ya jitegemee secondary. Wana maabara na wana utaratibu well organized wa re-sitters...Mazingira ya kujisomea ni mazuri, maabara plus library na pia walimu ni wa kutosha bila kusahau uwepo wa vimbweta kama vyote..ni wewe tu na juhudi zako..Naamini utatoboa...Mimi sikushauri kwenda chuo ila nakushauri nenda kwanza advance...Shortcut is the wrong way sometimes.
 
Back
Top Bottom