Natafuta kitabu mhusika (starling anaitwa james akeke

Natafuta kitabu mhusika (starling anaitwa james akeke

Mlendamboga

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2011
Posts
668
Reaction score
347
Kuna kakitabu kalitungwa na mtu anaitwa Mapunda(Kwa sasa ni marehemu kama sijakosea) nadhani pia alikuwa mchoraji kwenye gazeti la Sani miaka hiyooo ya 90. Kwenye kitabu hicho cha hadithi, mhusika mkuu aliitwa James Akeke alikuwa ametumwa kwenye mission ya kuokoa hivi, kana story na picha za kuchora lakini zilikuwa nzuri sana jina la kitabu limenitoka, wenye kukisoma tukuje hapa!!
 
Duuh mkuu umenikumbusha mbalisana, niliwahikukisoma nakumbuka sentesi moja tu wakati akeke anamwambia jamaa mmoja ( shiiiiii achakukanyaga majani watashtuka)daah mudamrefu sana nilikuwa msingi.
 
Kuna kakitabu kalitungwa na mtu anaitwa Mapunda(Kwa sasa ni marehemu kama sijakosea) nadhani pia alikuwa mchoraji kwenye gazeti la Sani miaka hiyooo ya 90. Kwenye kitabu hicho cha hadithi, mhusika mkuu aliitwa James Akeke alikuwa ametumwa kwenye mission ya kuokoa hivi, kana story na picha za kuchora lakini zilikuwa nzuri sana jina la kitabu limenitoka, wenye kukisoma tukuje hapa!!
Ulikipata mm nacho mpaka leo hii
 
Pls pls pls
4T au Fortunatus Ndila yupo hai nawasiliana naye sana.

Usimchulie kifo mru bila kutafiti kwanza.

Nitakupatia namba yake ukikanusha hii isse ya kifo
Ebannaeeh kitambo sana hapo nilimchanganya na
Marehem Jonh Kaduma
Aniwie radhi maana hata mimi kitambo sana ni mdau wa
WAMASA.
 
Ebannaeeh kitambo sana hapo nilimchanganya na
Marehem Jonh Kaduma
Aniwie radhi maana hata mimi kitambo sana ni mdau wa
WAMASA.
Kaduma alifariki yes.
Alikuwa anatumiwa na wamiliki wa magazeti hayo isivyo sahihi. Madawa ya kukevya yaliyokithiri yalituondolea bingwa wetu.

Fortunatus Ndilla alipata misukosuko na jamaa mmoja roho mbaya akampa kesi ya kubumba akaishi Segerea miaka 3... lakini yupo huru anaishi Dar bado
 
Kaduma alifariki yes.
Alikuwa anatumiwa na wamiliki wa magazeti hayo isivyo sahihi. Madawa ya kukevya yaliyokithiri yalituondolea bingwa wetu.

Fortunatus Ndilla alipata misukosuko na jamaa mmoja roho mbaya akampa kesi ya kubumba akaishi Segerea miaka 3... lakini yupo huru anaishi Dar bado
Huyu ndiye alikua muandishi wa stori ya james akeke?
 
Pls pls pls
4T au Fortunatus Ndila yupo hai nawasiliana naye sana.

Usimchulie kifo mru bila kutafiti kwanza.

Nitakupatia namba yake ukikanusha hii isse ya kifo
Mchoraji alikuwa John Kaduma ambaye ni marehemu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom