Malinyingi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2013
- 864
- 164
Wakuu Habari zenu?
Nimekuwa nikitafuta kitabu cha alfu Lela ulela (chapisho la kwanza kwa Kiswahili ) takriban miaka minne sasa lakini sijafanikiwa zaidi ya kupata hivi walivyo durufu kwa mara ya pili na kupoteza ladha halisi ya kitabu kile..
Yeyote ambae anafahamu kinapo patikana anijulishe! Natanguliza shukrani
Nimekuwa nikitafuta kitabu cha alfu Lela ulela (chapisho la kwanza kwa Kiswahili ) takriban miaka minne sasa lakini sijafanikiwa zaidi ya kupata hivi walivyo durufu kwa mara ya pili na kupoteza ladha halisi ya kitabu kile..
Yeyote ambae anafahamu kinapo patikana anijulishe! Natanguliza shukrani