LWENYI JF-Expert Member Jul 4, 2013 1,784 2,097 Jun 3, 2023 #1 Habari za leo wakuu, kama kuna mtu ana kinanda na anataka kuuza naomba ani DM tuzungumze, kinanda cha kawaida tu cha kujifunzia
Habari za leo wakuu, kama kuna mtu ana kinanda na anataka kuuza naomba ani DM tuzungumze, kinanda cha kawaida tu cha kujifunzia
M mbu wa dengue JF-Expert Member Jun 2, 2014 7,643 9,745 Jun 3, 2023 #2 LWENYI said: Habari za leo wakuu, kama kuna mtu ana kinanda na anataka kuuza naomba ani DM tuzungumze, kinanda cha kawaida tu cha kujifunzia Click to expand... nicheki pm viko vingi sana huku Dubai nikuagizie
LWENYI said: Habari za leo wakuu, kama kuna mtu ana kinanda na anataka kuuza naomba ani DM tuzungumze, kinanda cha kawaida tu cha kujifunzia Click to expand... nicheki pm viko vingi sana huku Dubai nikuagizie