TEMBO WANGU
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 930
- 1,300
Wakuu natafuta kinanda cha biashara used cha Tigo Pesa na kuweka baadhi ya biashara zingine, kiwe cha chuma kama hivi ambavyo wanatumia watu wa Tigo Pesa.
Kibanda kiwe used, maana bajeti yangu ni njiwa, urefu kiwe futi sita,na upana kiwe na futi tano. bajet yangu ni 300000 ( laki tatu).
Kwa mawasiliano 0757994417. Naishi Dar
Kibanda kiwe used, maana bajeti yangu ni njiwa, urefu kiwe futi sita,na upana kiwe na futi tano. bajet yangu ni 300000 ( laki tatu).
Kwa mawasiliano 0757994417. Naishi Dar