NATAFUTA KAZI

NATAFUTA KAZI

IT unatafita KAZI? Kwann usitafute KAZI online freelancing sijui mnafundishwaga nini huko vyuo. Mbona KAZI ni nyingi na malipo ni foreign currency
Sio kila mtu anaufahamu ndo maana kaomba maarifa
 
Sio lazima ulaya sema tu wengi kwa sababu ya English kuna nchi zinalipa vizuri na uhakika na sio ulaya mfano South Korea, Japan,Oman,nk
Lugha sio kikwazo kwa dunia ya sasa AI unaongea lugha yeyeto duniani
Labda South Korea ila japan hapana wana maadili sana wale jamaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom