MBUZI MWENYE BUSARA
Senior Member
- Nov 24, 2019
- 143
- 151
Habari ndugu zangu,
Mimi ni mwanaume mchapakazi na muaminifu .Nina uzoefu miaka mitano hasa katika sekta binafsi kwenye kazi ya uhasibu haswa kwenye mambo ya kodi n.k. Nina uzoefu sana kwenye kazi zifuatazo:
●Preparation of payrolls
●cash management,
●Monthly filing of Vat Returns.
●Paye and Sdl efiling
●Withholding tax and Stamp Duty paymemts
●Preparation and Payment of Statutory Contributions like NSSF , WCF
●Data Entry into the Accounting system i.e QuickBooks, WebErp n.k
●Preparation of financial statements, etc
Pia, nina uzoefu mzuri kwenye kutumia computer tena kwa haraka.
Naomba kwa atakayehitaji mhasibu , Naomba uni-DM tafadhali ili niweze kumtumia CV yangu.Napatikana Arusha.
Asanteni.
Mimi ni mwanaume mchapakazi na muaminifu .Nina uzoefu miaka mitano hasa katika sekta binafsi kwenye kazi ya uhasibu haswa kwenye mambo ya kodi n.k. Nina uzoefu sana kwenye kazi zifuatazo:
●Preparation of payrolls
●cash management,
●Monthly filing of Vat Returns.
●Paye and Sdl efiling
●Withholding tax and Stamp Duty paymemts
●Preparation and Payment of Statutory Contributions like NSSF , WCF
●Data Entry into the Accounting system i.e QuickBooks, WebErp n.k
●Preparation of financial statements, etc
Pia, nina uzoefu mzuri kwenye kutumia computer tena kwa haraka.
Naomba kwa atakayehitaji mhasibu , Naomba uni-DM tafadhali ili niweze kumtumia CV yangu.Napatikana Arusha.
Asanteni.