Natafuta kazi ya waitress

beautifulonyinye

JF-Expert Member
Mar 16, 2015
726
478
Habari za usiku wapendwa, mimi ni msichana miaka 25 nina cheti cha hotel management na nina uzoefu wa miaka 2 kama waitress nipo dar . Naomba kwa anaeweza kunisaidia kupata kazi maana maisha magumu na wenyenyumba nao wanataka kodi Zao!! .. Nitashukuru sana.
 
TAFUTA BANDA TUFUNGUE MGAHAWA CHIPSI YAI KUKU N.K KAMA UKO SERIOUS...UTAAJIRIWA UTALIPWA 200000 KWA MWEZI...ILA UKITAFUTA MBIA...WEWE UKATOA UJUZI NA MUDA YEYE AKATOA MTAJI MWISHO WA SIKU MNAGAWANA FAIDA NUSU KWA NUSU INAPENDEZA KULIKO KUAJIRIWA NA KULIPWA KWA MWEZI....
 
TAFUTA BANDA TUFUNGUE MGAHAWA CHIPSI YAI KUKU N.K KAMA UKO SERIOUS...UTAAJIRIWA UTALIPWA 200000 KWA MWEZI...ILA UKITAFUTA MBIA...WEWE UKATOA UJUZI NA MUDA YEYE AKATOA MTAJI MWISHO WA SIKU MNAGAWANA FAIDA NUSU KWA NUSU INAPENDEZA KULIKO KUAJIRIWA NA KULIPWA KWA MWEZI....
Asante kwa ushauri
 
Habari za usiku wapendwa, mimi ni msichana miaka 25 nina cheti cha hotel management na nina uzoefu wa miaka 2 kama waitress nipo dar . Naomba kwa anaeweza kunisaidia kupata kazi maana maisha magumu na wenyenyumba nao wanataka kodi Zao!! .. Nitashukuru sana.
njoo pm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom