Natafuta kazi ya waitress

Natafuta kazi ya waitress

Kama upo Serious tufanye hii mishe mi nna laki 5 and I can get another 500k in few weeks tuanzishe mradi wetu kuhusu sehemu ya kukaa kwa sababu kwenye nyumba yupo kisogoni kila dakika unaweza kaa nami for a time
U can't be serious!! Yaani watu kama nyie sijui mna malez ya namna gani,
 
Sory. Mi naitaj kujua tu unapoishi nimevutiwa na hyo kodi.. Nataffa room so kam hutojal waeza nmbi u wapi... Samhn kwa kuingilia mada tofauti.. Mungu awe nawe"!
Mkuu njoo pm lkn huwez amini Nyumba ni nzuri pia ina tiles , maji lkn nahis unaona kodi ni ndogo coz room nayenyewe ni ndogo pia , kitanda, kiti, tv, na kabati labda .. Cha kibachela zaidi
 
Kodi ikoje kwani hiyo?
Nimeona iko cheap dat y nimependa kujua upo maeneo gani.. Ili kama upo eneo ambalo ntaitj nije kukaa unifanyie mpngo hapo unaoish nipte room au hata eneo jirani.. Samahan lakin kwa usumbufu my!!
 
Habari za usiku wapendwa, mimi ni msichana miaka 25 nina cheti cha hotel management na nina uzoefu wa miaka 2 kama waitress nipo dar . Naomba kwa anaeweza kunisaidia kupata kazi maana maisha magumu na wenyenyumba nao wanataka kodi Zao!! .. Nitashukuru sana.
Mambo dd,polesana.sasa nakushsuri uandae CV ZAKO NA TOA copy vyeti vysko vya hotel hafu peleks pale NEW AFRICS HOTEL.PALE HUWA WSNA TATIZO LA SHORTAGE ZA WAFANYAKAZI,HIVYO PELEKA PALE NA KM UKIWEZA OMBA UKAMWONE HUMAN RESOURSES WA PALE.MM NLISHAFANYAKAZI PALE NA NLIMWCHA MR LOTUNO ILA NAHIS ATAKUWA KASHA RETIRE.HAFU UTATULETEA MREJESHI.NA WE UKIWA PALE UOMBE NAFASI YOYOTE SI LAXIMA RESTAURANT TU.MUNGU AKUPIGANIE UPATE
 
Nimeona iko cheap dat y nimependa kujua upo maeneo gani.. Ili kama upo eneo ambalo ntaitj nije kukaa unifanyie mpngo hapo unaoish nipte room au hata eneo jirani.. Samahan lakin kwa usumbufu my!!
Iko cheap coz room pia ni ndogo kama una vitu vingi napokaa, chumba ni 50 , Nyumba nzuri
 
Mambo dd,polesana.sasa nakushsuri uandae CV ZAKO NA TOA copy vyeti vysko vya hotel hafu peleks pale NEW AFRICS HOTEL.PALE HUWA WSNA TATIZO LA SHORTAGE ZA WAFANYAKAZI,HIVYO PELEKA PALE NA KM UKIWEZA OMBA UKAMWONE HUMAN RESOURSES WA PALE.MM NLISHAFANYAKAZI PALE NA NLIMWCHA MR LOTUNO ILA NAHIS ATAKUWA KASHA RETIRE.HAFU UTATULETEA MREJESHI.NA WE UKIWA PALE UOMBE NAFASI YOYOTE SI LAXIMA RESTAURANT TU.MUNGU AKUPIGANIE UPATE
Mkuu nashukuru sana Kwa ushauri lakini mahotel yenye nyota tano sanasana kuingia mule mpaka uwe na refa halafu wana vigezo vingi sana kama hujafanya field kwenye hotel ya 5 star huwez pata kazi kwenye hotel kama new Africa otherwise umeunganishwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom