Natafuta kazi ya waitress

Natafuta kazi ya waitress

Mkuu nashukuru sana Kwa ushauri lakini mahotel yenye nyota tano sanasana kuingia mule mpaka uwe na refa halafu wana vigezo vingi sana kama hujafanya field kwenye hotel ya 5 star huwez pata kazi kwenye hotel kama new Africa otherwise umeunganishwa
Punguza uoga hutafanikiwa haki yanani
 
Utaku
How come unasema hivyo? i just said natafuta mtu wa kunifulia na wewe unanisema hivyo as if nimekudharau Pole sana kwa kunielewa hivyo...

Utakuwa chizi sababu mtu kasema waitress, ww unasema kufua nguo weekend huoni kama ulisoma kwa mkopo basi unatakiwa ukatwe 79% kurudisha pesa zetu za kodi ss wananchi ?
 
Utaku


Utakuwa chizi sababu mtu kasema waitress, ww unasema kufua nguo weekend huoni kama ulisoma kwa mkopo basi unatakiwa ukatwe 79% kurudisha pesa zetu za kodi ss wananchi ?
Mkuu watu watu kama Hawa kwenye Jamii hawakosekanagi
 
Mkuu nashukuru sana Kwa ushauri lakini mahotel yenye nyota tano sanasana kuingia mule mpaka uwe na refa halafu wana vigezo vingi sana kama hujafanya field kwenye hotel ya 5 star huwez pata kazi kwenye hotel kama new Africa otherwise umeunganishwa
Tatizo la binadamu ndio hili. Amekushauri mazingira anayoyajua wewe unaanza kuweka vikwazo kwani ukijaribu utaumia wapi? Yani kwa style hii hata ukisali ngumu kufanikiwa maana imani haipo.
 
Tatizo la binadamu ndio hili. Amekushauri mazingira anayoyajua wewe unaanza kuweka vikwazo kwani ukijaribu utaumia wapi? Yani kwa style hii hata ukisali ngumu kufanikiwa maana imani haipo.
Mkuu nahis kuna mwingine nimemjibu kujaribu nishajaribu tena zaidi ya hiyo new Africa , holiday Inn Golden tulip , na zingine kama hizo so naongea kitu ambacho nimeexperience, tena kuna sehemu unaenda manager anakuuliza umeletwa na nani .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom