okololo
Member
- Feb 17, 2019
- 24
- 28
Habari za jioni,
Ninaitwa Samwel Mayala Mimi ni chef mwenye uzoefu wa miaka 18 kwenye hotel.
Ninapika vyakula aina mbalimbali ikiwemo Tanzania na nji za mataifa mbalimbali.
Pia ninapika kwenye shughuli kama vile harusi, kipaimara na ubatizo pia ukiwa na shughuli nyumbani unaniita nyumbani nakuja kukupikia
Lakini mbali ya hayo pia nafundisha kupika chakula aina mbalimbali.
Napatikana Dar.
Mawasiliano yangu ni 0657642225/0744054228
Ninaitwa Samwel Mayala Mimi ni chef mwenye uzoefu wa miaka 18 kwenye hotel.
Ninapika vyakula aina mbalimbali ikiwemo Tanzania na nji za mataifa mbalimbali.
Pia ninapika kwenye shughuli kama vile harusi, kipaimara na ubatizo pia ukiwa na shughuli nyumbani unaniita nyumbani nakuja kukupikia
Lakini mbali ya hayo pia nafundisha kupika chakula aina mbalimbali.
Napatikana Dar.
Mawasiliano yangu ni 0657642225/0744054228