Rajabu mjanga
New Member
- Aug 22, 2022
- 3
- 2
Habari,
Mimi ni kijana ninaumli wa miaka 23, ni mvulana kwa sasa naishi Zanzibar, ila nyumbani ni Dar es Salaaam, nimejifunza kazi ya upishi na ninauzoefu wa kupika tokea 2019 mpaka sasa 2022.
Najua kupika vyakula vya Indian food, Asia food, Americans food, tacos za Mexico na pasta za Italian, na pia najua kupika vyakula vya Tz, Kama wali, pila, nk,
Nilikuwa natafuta kazi ya upishi iwe napatika kwa namba +255628863418 🙏
Mimi ni kijana ninaumli wa miaka 23, ni mvulana kwa sasa naishi Zanzibar, ila nyumbani ni Dar es Salaaam, nimejifunza kazi ya upishi na ninauzoefu wa kupika tokea 2019 mpaka sasa 2022.
Najua kupika vyakula vya Indian food, Asia food, Americans food, tacos za Mexico na pasta za Italian, na pia najua kupika vyakula vya Tz, Kama wali, pila, nk,
Nilikuwa natafuta kazi ya upishi iwe napatika kwa namba +255628863418 🙏