Oya kausha mkuu. C unajua na waajili watarajiwa wamo humu jukwaani.Samahani.
Ulitumbuliwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Oya kausha mkuu. C unajua na waajili watarajiwa wamo humu jukwaani.Samahani.
Ulitumbuliwa?
Ndio nyie mliotumbuliwa serikalini Pole broNatafuta kazi ya udereva nina LESENI daraja A ,C3, D,E na Nina uzoefu nimekuwa nikendesha viongozi serikalini zaidi ya miaka 8 bila kusababishavajali na nimekaimu ( TO) yani transport officer kwa miaka mitatu kusimamia gari zaidi ya 37 na madreva wake no mambo ya logic and transport management Niko tayar popote mda wowote 0715-0784-468700
imekuwaje ukaacha huko serikalini?au ulikuwa na vyeti feki?
kuna wakati dereva wa RC na RAS mbeya walisimamishwa na wewe ni miongoni
Sio kweli,Kama una maisha mabaya ni wewe.Nimemuuliza kwa nini ameacha sasa hivi anatafuta kazi tena?au amekutwa na paranja la magu?Kwa kuchambua sentensi yangu hiyo hivyo hukupata Division 1,wewe ni darasa la sabaAcha umbeya wewe mbona sisi tulipata division 1 hatuna hata mafanikio ya jamaa inaelkea umepata elimu duni wewe
Sio kweli,Kama una maisha mabaya ni wewe.Nimemuuliza kwa nini ameacha sasa hivi anatafuta kazi tena?au amekutwa na paranja la magu?Kwa kuchambua sentensi yangu hiyo hivyo hukupata Division 1,wewe ni darasa la saba