Kwa kufundisha o level inawezekana, mm nilipomaliza Six nilikuwa na uwezo wa kufundisha masomo manne ya sayansi maths inclusiveDuh ticha wa sec. masomo manne...
shkamoo mwalimu, kila laheri
Kwa kufundisha o level inawezekana, mm nilipomaliza Six nilikuwa na uwezo wa kufundisha masomo manne ya sayansi maths inclusiveDuh ticha wa sec. masomo manne...
shkamoo mwalimu, kila laheri
Why is that info important?Jinsia plz
Unajichanganya!!!Mimi ni mwalimu na mtaalamu wa maths na masomo ya biology ,history goegrahy kwa shule za secondary. Mwenye mahitaji anitafute in box.
Asante.
Hiyo heading yako imekaaje mwalimu? "Natafuta kazi ya ualimu wa medium schools primary"!!
At what capacity? Huenda ulikuwa unafundisha tu bila kuwa na muda wa kufuatilia maendeleo ya wanafunzi wako. Kufundisha ni zaidi ya kuingia darasani. You need time to update/prepare yourself. Masomo 4 unapata wapi huo muda? Ndo maana vijana wakifika chuo hata kusolve vihesabu vidogo vidogo wavivu, wengine hawana kabisa skills za kujitafutia vitu vya kusoma. Stop that!!Kwa kufundisha o level inawezekana, mm nilipomaliza Six nilikuwa na uwezo wa kufundisha masomo manne ya sayansi maths inclusive
Inabidi tz wabadilishe kabisa mfumo wa kumpata mwalimu, iwe kama USA ambapo mwalimu lazima uwe na teaching certificate ili uweze kufundisha na hiyo certificate inapatikana kwa kufanya mitihani na kama hauna master baadhi ya states certificate unairenew kila mwaka, hii fani inaonekana makanjanja wamejaa wengi sana hapa TZ.At what capacity? Huenda ulikuwa unafundisha tu bila kuwa na muda wa kufuatilia maendeleo ya wanafunzi wako. Kufundisha ni zaidi ya kuingia darasani. You need time to update/prepare yourself. Masomo 4 unapata wapi huo muda? Ndo maana vijana wakifika chuo hata kusolve vihesabu vidogo vidogo wavivu, wengine hawana kabisa skills za kujitafutia vitu vya kusoma. Stop that!!
Vilaza wengi wamejazana huko ingawa si wote ila inasikitisha sana. Mhimu waajiri waliangalie hili kwa macho...sidhani kama kuna ubaya kuwapa seminar kila baada ya miezi 6 namna bora ya kufundisha watoto.Inabidi tz wabadilishe kabisa mfumo wa kumpata mwalimu, iwe kama USA ambapo mwalimu lazima uwe na teaching certificate ili uweze kufundisha na hiyo certificate inapatikana kwa kufanya mitihani na kama hauna master baadhi ya states certificate unairenew kila mwaka, hii fani inaonekana makanjanja wamejaa wengi sana hapa TZ.
Na kama umesomea maswala ya afya atakwambia kafungue zahanati yako,Kuna yule mwenye kuitwa Kigangwalla atawaambieni mfungue shule zenu
Haha mzee wa fursaNa kama umesomea maswala ya afya atakwambia kafungue zahanati yako,
Kama unaujua vzr mtaala wa hesabu shule ya msingi. Na unajua kiingeleza cha kusoma na kuzungumza na kompyuta piga simu hii 0715531232 tuzungumze zaidiMimi pia shule ya msingi
Mkuu fursa hii kama bado ipo tafadhali nijuzeHaha mzee wa fursa
Kama unaujua vzr mtaala wa hesabu shule ya msingi. Na unajua kiingeleza cha kusoma na kuzungumza na kompyuta piga simu hii 0715531232 tuzungumze zaidi
Mkuu fursa hii kama bado ipo tafadhali nijuzeKama unaujua vzr mtaala wa hesabu shule ya msingi. Na unajua kiingeleza cha kusoma na kuzungumza na kompyuta piga simu hii 0715531232 tuzungumze zaidi
Mkuu fursa hii kama bado ipo tafadhali nijuzeKama unaujua vzr mtaala wa hesabu shule ya msingi. Na unajua kiingeleza cha kusoma na kuzungumza na kompyuta piga simu hii 0715531232 tuzungumze zaidi
Sina iman na huyo mwalim sijui kasomea wapDuuuh huu ukanjanja aiseeh, history, mathe, biology na geography halafu sekondari umesoma chuo gani?
Nikweli mkuuu ata kama anakipaji daaaar biology then history duuu hiyo advance ilikua comb gani labda alikosea kuandikaUngesema Bios,Chemistry,Physics na Hesabu ningekuelewa.Ila utoke kupiga shule ya glomerular filtration in the nephron uje uanze kuelezea Ngoni Migration
Umesoma combination gani High school?