right way
Member
- Jul 28, 2017
- 85
- 28
Mawasiliano through pm wakuuuNatafuta Kaz ya kufundisha secondary masomo ya chemistry na biology nina diploma ya ualimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mawasiliano through pm wakuuuNatafuta Kaz ya kufundisha secondary masomo ya chemistry na biology nina diploma ya ualimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Biology,Maths,History Na Geography secondary we mkaliMimi ni mwalimu na mtaalamu wa maths na masomo ya biology ,history goegrahy kwa shule za secondary. Mwenye mahitaji anitafute in box.
Asante.
Kuna watu walibalance zaidi yako lakini Wana Masomo mawili.EGM ila olevel nilibalance comb zote za art na scince.
Medium schools primary ndio mkondo gani?Mimi ni mwalimu na mtaalamu wa maths na masomo ya biology ,history goegrahy kwa shule za secondary. Mwenye mahitaji anitafute in box.
Asante.
Kwakwel anadharirisha Sana hiyo kadaNinaomba kama ww sio mwalimu acha kazalirisha kada hiiii mwalimu huwezi kuwa na masomo manne mkuuu profesional ya ualimu hapa nchin kwetu tunaanza na masomo mawili au moja na sio hayo unayo yataja bios,math,then history hii nn sasa Tanzania hatuna mwalimu wa namna hiii mkuuuu
Sent using Jamii Forums mobile app